Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,057
- 1,572
Nasikia Maprof wa The Udom aka Vilazer wamemind kinyama.
Serikali ya Wanafunzi Udom imepiga marufuku bidhaa za MO kuuzwa THE UDOM
Udsm Home of VIPANGA
Mbona unajichanganya? Any way...usinijibu tafadhali.Sifa zote ninazo lkn sitaki kazi kwa huyo jamaaa wacha niendelee kukaza na Shughuli ndogo ndogo za kitaaa
Inamaana sisi wa SAUT siyo watz au ?
Pumbavu
Mbona unajichanganya? Any way...usinijibu tafadhali.
Atakuwa anamaanisha GPA ya mwaka iwe 3.8, si unajua kila mwaka una GPA na ile ya mwisho ni average?Hata hivo hilo tangazo lina utata sana.. 1st year undergraduate.. at least 3.8 GPA???? how comes? ama alikuwa anamaanisha waliopata division one?
Atakuwa anamaanisha GPA ya mwaka iwe 3.8, si unajua kila mwaka una GPA na ile ya mwisho ni average?
Mtoa post acha unafiki kwaiyo wewe umeiona udom tu? We nae huna tofauti na mchochezi ntawaomba wachemshwaji wakutangaze kuwa wewe nae ni mmoja ya kuni kwaoView attachment 390616View attachment 390617View attachment 390618View attachment 390620
Nasikia Maprof wa The Udom aka Vilazer wamemind kinyama.
Serikali ya Wanafunzi Udom imepiga marufuku bidhaa za MO kuuzwa THE UDOM![]()
![]()
Udsm Home of VIPANGA
hv saut mmeanza kutoa degree?Inamaana sisi wa SAUT siyo watz au ?
Pumbavu
duuh we nawe jipu sio burehv saut mmeanza kutoa degree?
Kwani kuitaja UDOM ni DHAMBI..!!?Mtoa post acha unafiki kwaiyo wewe umeiona udom tu? We nae huna tofauti na mchochezi ntawaomba wachemshwaji wakutangaze kuwa wewe nae ni mmoja ya kuni kwao