Mnyukano CHADEMA, mbunge Aida amkataa Lissu

Mnyukano CHADEMA, mbunge Aida amkataa Lissu

Gazeti la jamhuri la leo limekuja na taarifa inayoelezea majibizano ya Tundu Lisu na mbunge wa Nkasi kupitia Chadema mh Aida khenani, Tundu Lisu amenukuliwa akisema kuwa chadema haiutambui ubunge wa Aida Khenani licha ya kuwa alichaguliwa kwa kura za kishindo na wananchi wa Nkasi kaskazini.

Mh Khenani amemtaka Lisu kutulia na kuendelea kulelewa Ubelgiji kwani hana uwezo wa kusema hatambui ubunge wa mtu fulani kwani hana maamuzi ya mwisho ndani ya chama.

View attachment 2576465
Mnaogopa kivuli wakati shoo bado mtajuta kuwa ccm , mtapigwa shoo ccm mpaka mjute
 
Huu ndio ulikuwa msimamo wa Chadema baada ya uchaguzi, lakini baada ya mazungumzo ya maridhiano, msimamo huu ulibadilika, sasa Chadema inautambua uchaguzi, mnamtambua mshindi na inamtambua Mhe. Aida Khenani. Msikiliza hapa JJ. Mnyika
View: https://youtu.be/x5yFws4dc1U?si=CU0jn9EyGCIRAsJS
Hili nimelijua kwa impromtu interview, Chadema itoe taarifa rasmi kumtambua, ili aheshimiwe na wote.
P

Ulikuwa ni upuuzi wa hali ya juu kutomtambua Aida Khenani. Ulikuwa ni uvunjwaji mkubwa wa haki.
 
Ulikuwa ni upuuzi wa hali ya juu kutomtambua Aida Khenani. Ulikuwa ni uvunjwaji mkubwa wa haki.
Chadema wenyewe wanaihesabu ni chama malaika, hivyo hawakosei,, Aida ndiye mbunge pekee Chadema ilipata na amechaguliwa kwa kura nyingi za CCM ili kumwadhobu Kessy kwa ile hoja yake ya "atake asitake", Chadema badala ya kumshukuru na kumpongeza walimnyanyapaa!, kiukweli kabisa Chadema hawajumtendea haki. Baada ya maridhiano alielekezwa aandike barua ya kuomba msamaha, akaandika, ndipo chama kinamtambua, ila Chadema hakijatangaza rasmi kumtambua.
P
 
Gazeti la jamhuri la leo limekuja na taarifa inayoelezea majibizano ya Tundu Lisu na mbunge wa Nkasi kupitia Chadema mh Aida khenani, Tundu Lisu amenukuliwa akisema kuwa chadema haiutambui ubunge wa Aida Khenani licha ya kuwa alichaguliwa kwa kura za kishindo na wananchi wa Nkasi kaskazini.

Mh Khenani amemtaka Lisu kutulia na kuendelea kulelewa Ubelgiji kwani hana uwezo wa kusema hatambui ubunge wa mtu fulani kwani hana maamuzi ya mwisho ndani ya chama.

View attachment 2576465
Mambo madogo bila chadema gazeto haliuzi?
 
Chadema wenyewe wanaihesabu ni chama malaika, hivyo hawakosei,, Aida ndiye mbunge pekee Chadema ilipata na amechaguliwa kwa kura nyingi za CCM ili kumwadhobu Kessy kwa ile hoja yake ya "atake asitake", Chadema badala ya kumshukuru na kumpongeza walimnyanyapaa!, kiukweli kabisa Chadema hawajumtendea haki. Baada ya maridhiano alielekezwa aandike barua ya kuomba msamaha, akaandika, ndipo chama kinamtambua, ila Chadema hakijatangaza rasmi kumtambua.
P
Tutawaadhibu tena 2025.
 
Tutawaadhibu tena 2025.
Hapana, Tanzania ni yetu sote, sio ya CCM au ya watu fulani tuu, Tanzania ni ya wote, CCM, wapinzani hata wasio na vyama, hivyo kwa vile CCM ndio chama tawala, kinawajibu wa kulea upinzani, ndio maana CCM na Chadema, wamefanya maridhiano na kukubaliana kugawana nusu mkate kwenye baadhi ya maeneo. Hivyo 2025 hatutawaadhibu, tutawamegea kipande cha mkate
P
 
Tundu Lisu amenukuliwa akisema kuwa chadema haiutambui ubunge wa Aida Khenani licha ya kuwa alichaguliwa kwa kura za kishindo na wananchi wa Nkasi kaskazini.
Hapa TAL,alichemka, JJ Mnyika amenyoosha maelezo kuwa Chadema inamtambua Mhe Aida
View: https://youtu.be/r-SmiYZUOXc?si=h7LIeYqgLD5r6cpM

Huyu Mdada,ni jembe kweli na hatakagi ujinga!angalia anavyoukataa ujinga huu wa NRNE! 𝗠𝗯𝘂𝗻𝗴𝗲 𝘄𝗮 𝗖𝗵𝗮𝗱𝗲𝗺𝗮 𝗔𝗶𝗱𝗮 𝗞𝗵𝗲𝗻𝗮𝗻: ‘𝗧𝘂𝘁𝗮𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶 𝗨𝗰𝗵𝗮𝗴𝘂𝘇𝗶, 𝗞𝗮𝘂𝗹𝗶𝗺𝗯𝗶𝘂 𝘆𝗮 𝗡𝗼 𝗥𝗲𝗳𝗼𝗿𝗺, 𝗡𝗼 𝗘𝗹
P
 
Back
Top Bottom