Jamani mimi naomba watu wenye upeo mdogo unaofanana na vyeo vya akina tambwe hizza wapishe mapema, pia wewe unayewaambia watu wametumwa acha upofu wa maono,sio kila jambo ni lazima liwe zuri kwa chadema, yaani unanishangaza sana,kila jambo linaloikosoa cdm unasema wametumwa wewe sio mwanachadema kabisaaa,hata ukiwa na kadi basi ww ni wenye uono mfupi na hutafanikiwa katika haya...sikia kila jambo na ujenge hoja.