Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,299
- 4,700
kama kila tetesi ya mtaani ataita press conference itabidi ahamie CHUMBA CHA HABARI MAELEZO kabisa!
Kwa hiyo nyie ndiyo mmechukua jukumu la kumjibia kila tetesi?
kama kila tetesi ya mtaani ataita press conference itabidi ahamie CHUMBA CHA HABARI MAELEZO kabisa!
Sasa na wewe ndo umeandika nini?? Masika na mvua ndo mfano gani??Sasa hapo ndio umechangia kitu gani zaidi ya kutabiri mvua kipindi cha masika?
Kwa kuwa ni div 5 huwezi kujua nini nimeandika lumumba team,buku 2Sasa na wewe ndo umeandika nini?? Masika na mvua ndo mfano gani??
Lizaboni anadai posho yake ya wiki hajapata toka lumumba hivyo jana kajidunga mataputapu aka kangala ya kutoshacjamuona lizaboni kwenye huu uzi, mzee wa kupika propaganda toka lumumba industry
Vijana wa lumumba mna tabia sawa na za popoOk!Kuimarika na wabunge 20+ wa Majimbo kati ya Majimbo zaidi ya 200+?Wakati watz waliisha ichoka CCM uchaguzi wa 2015 wakakosa uongozi thabiti wa wapinzani huku Bara?Mnadhani nafasi ya CCM goi goi kama ya JK itarudi tena?
Haya basi sawa
Mm situmiki kwa mtu yyt yule,ni makosa kila mtu akipinga sera za MTUKUFU Mbowe kumhusisha na CCMVijana wa lumumba mna tabia sawa na za popo
Chadema nzima hakuna wa kumwambia ukweli Mbowe! HAYUPO! Wasiotaka vurumai wameamua kukaa kimya.Na ww unamuogopa sana MTUKUFU Mbowe kiasi kwamba huwezi mshahuri?
Badala ya kuchukua hatua kuhusu hawa DED ambao sasa ni makada wao wanakazania tu na mkutano wa CCMChadema nzima hakuna wa kumwambia ukweli Mbowe! HAYUPO! Wasiotaka vurumai wameamua kukaa kimya.
Haya nenda lumumba ukachukue buku zako 2Mm situmiki kwa mtu yyt yule,ni makosa kila mtu akipinga sera za MTUKUFU Mbowe kumhusisha na CCM
CHADEMA kifanye siasa za kisasa,waachane na kuvizia makosa ya CCM!Nilitarajia Lissu aamkie Court toka juzi kupinga nafasi za utumishi kama DAS na DED kugeuzwa za kisiasa
Lkn nyie mnafikiria kuzuaia mkutano wa CCM!Mkizuia mkutano huo kwani hawa makada DED akina Abubakar Assenga HAWATASIMAMIA uchaguzi wa 2020?Mtaiondoaje CCM madarakani kama makada wao ndiyo wasimamizi wa uchaguzi?
My
Wahi ukachukue buku 2 lumumbaNa ww unamuogopa sana MTUKUFU Mbowe kiasi kwamba huwezi mshahuri?
Siishi Tanzania MmawiaWahi ukachukue buku 2 lumumba
Kabla ya kushangilia naomba tufanye tafakuri nzuri. Sababu kubwa aliyodai Mnyika ni kuwa Lowassa ni fisadi ni yule yule waliomwandama Chadema2008 hajabadilika. Na yeye Mnyika hajabadilika angependa Lowassa ashitakiwe wa keanza Mhakama ya Mafisadi. Je sasa kayakubali? Lowassa kabadilika? Mnyika kabadilika? Ni mambi ya msingi haya tuacheni blablabla.t
Ni bora Mhs Mnyika amejibu mwenyewe maana hawa Lumumba wasumbufu sana!!
Kwa nini usinyamaze tu?Siishi Tanzania Mmawia
Siyo kila anayeongea against CHADEMA anatumiwa na CCM
Onana na Maxi Mello au Figanigga ambao ni viongozi hapa hao tumewahi onana uso kkwa uso ktk harakati za maisha wakuambie ukweli kuhusu mm kuliko kubahatisha tu
CHADEMA ilikua chama changu lkn sasa sipo huko,kimekua chama uchwara
Haya kachukue buku zako 2 utumie wikiendi hiiSiishi Tanzania Mmawia
Siyo kila anayeongea against CHADEMA anatumiwa na CCM
Onana na Maxi Mello au Figanigga ambao ni viongozi hapa hao tumewahi onana uso kkwa uso ktk harakati za maisha wakuambie ukweli kuhusu mm kuliko kubahatisha tu
CHADEMA ilikua chama changu lkn sasa sipo huko,kimekua chama uchwara