Mnyika; njoo kimara haraka

Mnyika; njoo kimara haraka

MKUU hayo ni mambo yamakusidi kabisa yanayofanywa na ccm kuwakomoa kwa kuwa jimbo lipo chini ya upinzani.mnasulubiwa weee ili next time mchague ccm

Lakini hata mambo yaliyo ndani ya uwezo wake anashindwa?
Ajifunze kutoka kwa wenzake jimboni ndiyo haonekani kabisa hata kama uko busy namna gani? Angalia Mwakyembe aliacha ofisi akapita mala moja bungeni kisha akaenda Kyela jimbo lake limekumbwa na mafuriko, hata kama hakuzuia mafuriko lakini wapiga kura wake wamepata faraja mnyika wapi bana hana lolote mwakani atafute jimbo lingine tu. amewaongezea umaskini wapiga kura wake kwa kununua maji kila siku.
 
nyinyi mnaoraumu chadema kwa hiyo barabara mbovu, je mmejiuliza kwa nini ccm haikujenga barabara hiyo miaka 50 yote ya uhuru. hiyo ni kazi ya serikali ya ccm. mbunge kazi yake sio kujenga barabara bali kusemea hilo tatizo serikalini . wake up
 
Labda wewe ndo utawapa hao intarahamwe embu fikilia folein ya ubungo mpaka unavuka mataa saa mbili ishakukutia hapo hapo ukitaka uchukue boda bodo unaambiwa haziluhusiwi kuingia mjini au we mwenzetu una ungo unapaa nao?binafsi siwapendi ccm leo kko wamepiga mabom macho yote yanauma wajidai safisha jiji aman wanaihatarisha wenyewe tangu lin ukamnyanyasa raia wa chin ukamuacha mkubwa kisa pkpk zinasababisha folein na ujambazi kumbe hao hao wanaiba then wanasingizia vijana wa bodaboda
 
mimi kwa siku nanunua maji ya alfu kumi, yaani dumu moja alfu moja, dumu kumi ndio natumia. mabomba yapo hadi ndani lakini hayatoi maji huku kimara. nashindwa nisemeje.

Mwambie mh. mnyika yatatoka.
 
Lakini hata mambo yaliyo ndani ya uwezo wake anashindwa?
Ajifunze kutoka kwa wenzake jimboni ndiyo haonekani kabisa hata kama uko busy namna gani? Angalia Mwakyembe aliacha ofisi akapita mala moja bungeni kisha akaenda Kyela jimbo lake limekumbwa na mafuriko, hata kama hakuzuia mafuriko lakini wapiga kura wake wamepata faraja mnyika wapi bana hana lolote mwakani atafute jimbo lingine tu. amewaongezea umaskini wapiga kura wake kwa kununua maji kila siku.

Book 7 kwa kuropoka hamjambo. Kwa taarifa yako Mnyika alitembelea jimbo lake nankuangalia athari za mafuriko. Barabara nyingi zilizokuwa hazipitiki zimerekebishwa na sasa zinapitika. Kuhusu maji jimbo hili lilikuwa mikononi mwa CCM miaka nenda rudi na kero ya maji haikutatuliwa. Sasa mlitegemea Mnyika afanye muujiza ndani ya miaka 5 maji yapatikane? Na mbona tatizo la maji ni la mji mzima wa Dar au na huko Mbunge ni Mnyika?

Acheni kuropoka na kujifurahisha hapa JF Ubungo litaendelea kuwa jimbo la Mnyika hata CCM mkimsimamisha Kikwete atapigwa chini tu.

Tiba
 
Lakini hata mambo yaliyo ndani ya uwezo wake anashindwa?
Ajifunze kutoka kwa wenzake jimboni ndiyo haonekani kabisa hata kama uko busy namna gani? Angalia Mwakyembe aliacha ofisi akapita mala moja bungeni kisha akaenda Kyela jimbo lake limekumbwa na mafuriko, hata kama hakuzuia mafuriko lakini wapiga kura wake wamepata faraja mnyika wapi bana hana lolote mwakani atafute jimbo lingine tu. amewaongezea umaskini wapiga kura wake kwa kununua maji kila siku.

mkuu kwa style hii hakika ccm wamepiga bao kwa kuwa walifaham wakifanya hivi watu kama nyie watawabamba tuu ila amini usiamini mkuu ugum huo wa maji nimakusudi tuu inayofanywa na wachache kisa ni kuwakomoa wapinzani.
kama suala la barabara serikali ndio inayohusika na nijukum lake kurekebisha but kwa majimbo yanayoshikiliwa na upinzani huwa wanafanya makusudi kabisaa.
mwisho hii nchi yetu tunauana wenyewe kwa wenyewe mkuu
 
Bila hata ya upendeleo wa chama au mtu, kwa hakika mbunge wetu yuko mbali na wapiga kura wake. @50+ Kwembe na Kibamba tunanunua maji ya madumu, barabara za mradi wa viwanja Kwembe hazijaandaliwa, wananchi wanajihangaikia tu. We want effective constituency representation that touches the lives of your voters, national issues should emanate from us. Yaani bottom up and not the reverse
 
Yan kuna watu wanaboa tumekosa maji miezi miwili sasa bora tulikua tunayapata kwa mgao lakini mnyika yupo kimya hivi magonjwa ya matumbo na kuhara yataisha tz hii. Ww mnyika maji tuliyokuwa tunayapata mara mbili kwa wiki leo yapo?upo busy na UKAWA umesahau wananchi wako wa kimara,mbezi maji hakuna.
 
Kwa hiyp hata kama hawezi kutoa pesa kufatilia swala la maji dawasco akajua nini tatizo wananchi hawana maji miez miwili ni shida kwake?
 
Book 7 kwa kuropoka hamjambo. Kwa taarifa yako Mnyika alitembelea jimbo lake nankuangalia athari za mafuriko. Barabara nyingi zilizokuwa hazipitiki zimerekebishwa na sasa zinapitika. Kuhusu maji jimbo hili lilikuwa mikononi mwa CCM miaka nenda rudi na kero ya maji haikutatuliwa. Sasa mlitegemea Mnyika afanye muujiza ndani ya miaka 5 maji yapatikane? Na mbona tatizo la maji ni la mji mzima wa Dar au na huko Mbunge ni Mnyika?

Acheni kuropoka na kujifurahisha hapa JF Ubungo litaendelea kuwa jimbo la Mnyika hata CCM mkimsimamisha Kikwete atapigwa chini tu.

Tiba

Mimi sipendi siasa ila huyu jamaa ubunge umemshinda! Mnyika hakuja ubungo alituma salamu tu toka bungeni! Keenja alikuwa anafanya vizuri mradi wa maji ya wachina! alipoingia yeye akaharibu.
In short hili jimbo ni kubWa kuliko uwezo wake! Eti hawezi kutatua matatizo hakusanyi kodi Sasa kuna umuhimu gani Kuwa na mbunge??
Wenzake wanaweza yeye ashindwe kwanini? Hata wachaga wenzie hawamtaki kumuona kabisa amalizie muda wake aondoke.
 
Mimi sipendi siasa ila huyu jamaa ubunge umemshinda! Mnyika hakuja ubungo alituma salamu tu toka bungeni! Keenja alikuwa anafanya vizuri mradi wa maji ya wachina! alipoingia yeye akaharibu.
In short hili jimbo ni kubWa kuliko uwezo wake! Eti hawezi kutatua matatizo hakusanyi kodi Sasa kuna umuhimu gani Kuwa na mbunge??
Wenzake wanaweza yeye ashindwe kwanini? Hata wachaga wenzie hawamtaki kumuona kabisa amalizie muda wake aondoke.

Povu litaendelea kuwatoka lakini kijana anachapa kazi. Wewe unaweweseka mpaka kumuita Mnyika mchaga. Ni wachaga wenzake wapi hao unaowasemea wewe hapa. Kwa taarifa yako mradi wa Wachina ulikufa shortly baada ya Lowassa kujiuzuru uwaziri mkuu na wakati huo Keenja akiwa Mbunge. Hebu twambie Keenja alifanya nini? Acha kuleta uharo wako hapa.

Tiba
 
Ndo majibu yako haya unayopewa mkuu Msusu. Cha maana wewe ni kuvumilia hadi 2015 uende kuwaadhibu CHADEMA kwenye boksi la kura.

CHADEMA ni chama cha matapeli.

Weee utakua shetani kwel
 
Last edited by a moderator:
Wabunge wote wa CHADEMA ni matapeli al maarufu wachumia tumbo.

Tapeli mkubwa (Dr. Slaa) yeye hadi leo hii analipwa hela ya ubunge na wakati yeye siyo mbunge.

NaN anamlipa slaa hela ya ubunge
 
Muunganishe nguvu muweke kifusi. Mnyika hakusanyi kodi

Wewe kama hujui kazi za mbunge kaa chini, kwa mvua zilizonyesha alitakiwa awe na habari ya yote hayo yeye anadanda na ukawa tu. Wananchi wa ubungo imekula kwao.
 
Povu litaendelea kuwatoka lakini kijana anachapa kazi. Wewe unaweweseka mpaka kumuita Mnyika mchaga. Ni wachaga wenzake wapi hao unaowasemea wewe hapa. Kwa taarifa yako mradi wa Wachina ulikufa shortly baada ya Lowassa kujiuzuru uwaziri mkuu na wakati huo Keenja akiwa Mbunge. Hebu twambie Keenja alifanya nini? Acha kuleta uharo wako hapa.

Tiba

Sina povu poleni sana utaperi wenu msilete kwa wananchi Mnyika amefanya kitu gani?
Anyway mtaishia hivyo hivyo hamuwezi hata kuhoji chochote ndani ya chama chenu kwa kuhofia kuitwa wasariti.
Ktk majimbo msituletee hilo! Mimi naishi kinondoni Idd Azan amerekebisha miundo mbinu vizuri sana na barabara za mitaani,
Huyo mnyika wenu jiandaeni kumpokea 2015 anarudi mtaani atakuwa anashinda hapo makao makuu yenu mtaa wa mateja ya unga na nyuma makaburi na chimbo la dada poa. Eti chama kikuu cha upinzani kila mwezi mnapata ruzuku ya 350M hata kununua nyumba ya 200M mfanye makao makuu mmeshindwa?? Mnajaza matumbo ya viongozi wenu na kuendelea kutanua na vimada wao huku wakiwa wametekeleza ndoa zao shame shame.
 
Sina povu poleni sana utaperi wenu msilete kwa wananchi Mnyika amefanya kitu gani?
Anyway mtaishia hivyo hivyo hamuwezi hata kuhoji chochote ndani ya chama chenu kwa kuhofia kuitwa wasariti.
Ktk majimbo msituletee hilo! Mimi naishi kinondoni Idd Azan amerekebisha miundo mbinu vizuri sana na barabara za mitaani,
Huyo mnyika wenu jiandaeni kumpokea 2015 anarudi mtaani atakuwa anashinda hapo makao makuu yenu mtaa wa mateja ya unga na nyuma makaburi na chimbo la dada poa. Eti chama kikuu cha upinzani kila mwezi mnapata ruzuku ya 350M hata kununua nyumba ya 200M mfanye makao makuu mmeshindwa?? Mnajaza matumbo ya viongozi wenu na kuendelea kutanua na vimada wao huku wakiwa wametekeleza ndoa zao shame shame.

Tumeingia kwenye kuimba taarabu aka mipasho sasa. Sorry i am not your type so we incompatible and i cannot continue to urgue with you. Sasa kama unaishi Kinondoni kwa Idd Azan ya Ubungo kwa Mnyika yanakuhusu nini? Tuache sisi wakazi wa Ubungo na matatizo yetu ambayo yamekuwepo tangia uhuru mpaka leo.

Tiba
 
mnyika ndani ya kimara ameshafika tupo hapa kimara matangini ofisi ndogo za chama anasikiliza matatizo ya wanannchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom