Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,394
- 860,069
A.k.a fyatu!! Perception creates realityHizi sheria za bunge kweli ni za kizembe sana, watu wanacheza kule Arusha wakijua mishahara na posho zipo palepale.
A.k.a fyatu!! Perception creates realityHizi sheria za bunge kweli ni za kizembe sana, watu wanacheza kule Arusha wakijua mishahara na posho zipo palepale.
juzi walitushtukiza kesho tunajiaandaa ....haya ndiyo maneno ya vijana wafuasi kindakindaki wa chadema maeneo ya mianzini
Nendeni mkajadili bajeti bungeni mambo ya kuwasha moto kila siku yametuchosha hayana tija zaidi ya kutupotezea muda
Ikajadiliwe bajeti ya upuuzi hata haikizi mahitaji...hao walioko humu bungeni sindiyo wengi wajadili wao na wapitishe wao.Nendeni mkajadili bajeti bungeni mambo ya kuwasha moto kila siku yametuchosha hayana tija zaidi ya kutupotezea muda
Together we can ,, hakuna wa kushindana na nguvu ya umma
Hizi sheria za bunge kweli ni za kizembe sana, watu wanacheza kule Arusha wakijua mishahara na posho zipo palepale.
Wewe furahisha mwanya tujuzi walitushtukiza kesho tunajiaandaa ....haya ndiyo maneno ya vijana wafuasi kindakindaki wa chadema maeneo ya mianzini
Hizi sheria za bunge kweli ni za kizembe sana, watu wanacheza kule Arusha wakijua mishahara na posho zipo palepale.
Hizi sheria za bunge kweli ni za kizembe sana, watu wanacheza kule Arusha wakijua mishahara na posho zipo palepale.
Polisi bado wanawatafuta akina mbowe?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Polisi bado wanawatafuta akina mbowe?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Nina mashaka wanaweza kuja kuwakamata kwenye ibada ya mazishi wasipojipeleka