Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Hakuna wa kushindana na Mnyika,kura yangu bado iko kwake amelibadili jimbo la ubungo kwa kiasi kikubwa.Ninajivunia kuongozwa na Mnyika ubungo
 
Mimi ni CCM damu damu ila katika issue ya maji ubungo Mnyika kajitahidi sana kwa juhudi zake za ufuatiliaji na kuwaongoza wananchi wake kudai maji, sasa whether yamishakuja au lah hiyo ni issue nyingine.

mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
Mtoa mada mpuuzi tu. Mnyika ametetea wizara ya maji ipate pesa ili ifanikishe miradi ya maji akiwa bunge. Serikali ya ccm kazi yake nikuiba pesa na viroba. Wewe sema sitoi kura kwa ccm wezi. Tupate serikali nyingine itakayojali wananchi. Mm nampongeza mh mnyika uzalendo wake unaonekana.
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"
Kwa akili zetu watanzania anaweza kulikosa.saizi yetu ni wabunge wa aina ya Lusinde,Azizi Abood,Mrema Lyatonga,Azani,na wengineo wengi.Mungu tusaidie watanzania ili tuweze kujitambua
 
Mnyika hadi kaandamana na sisi kutafuta maji wizara ya maji pale Ubungo. Kasema vya kutosha kuhusu maji. Ila CCM wana hila za kijinga, wanasahau kwamba Kikwete anaongoza nchi nzima. Dawa ya haya yote ni kutoa uozo CCM na kuweka UKAWA.
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

mlisema tundu lissu , nassari, selasini,na jimbo la ukerewe tutayapoteza....lakini majibu mmeyapata kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa. mlisema chadema itakufa kabla 2013 lakini ndio tunaelekea 2015 tukiwa bora kuliko 2010. sasa mmehamia kwa mnyika?? waacheni wapiga kura waamue sio kupiga kelele hapa kwa sababu tu unajua matumizi ya keyboard
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

acha unafiki kuwa mkweli mbele ya umma na Mwenyezi Mungu, je hujaona jitihada zozote za mnyika kuhusiana na maswala ya maji? je, kilio chake cha kuhusu maji ubungo hujakisikia? je anayestahili lawama ni
mnyika
dawasco
wizara ya maji
serikali

naomba jibu lako kwa kutumia evidence.

usipojibu kwa fact wewe ni mnafiki na kuwadi wa maisha ya watu.


USIKIMBIE
 
Jamani mnyika huwa anaongelea sana swala LA Maji labda a nataka atembee narabarani akiliongelea hilo kamanakumbuka aliombeleaga swala LA mabomba ya mchina yasiofanya kazi hiki kipindi kimetokea kutopata Maji hapendi na anajitaidi sana mm nimeshamsikia akiliongelea bungeni zaid ya Mara tatu na Mara ya mwisho aliongelea wasichukulie uziti swala LA Maji yachupa tu Bali wavhukue hata kwenye swala LA Maji katika majimbo likiwemo lake LA ubungo mm hata asipige kampeni kura yake ipo ila naomba akumbuke swala LA Barbara ya makubuli inayoenda jeshini inavumbi sana na huishia kuchimbwa tu
 
wakumnyanganya Mnyika hawezi toka nje ya CDM kaulize hilo ndio uje na hoja yako ya maji taka! Kijana amefanya mengi sana jimboni kwetu mbali na haya mashetani ya escrow kuwa kizuizi!
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

shule za kata bila maabara
 
Mleta mada hajui wajibu wa mbunge! Mnyika ni mfano bora kabisa wa mbunge mwenye kujitambua na ninatamani sana angekuwa mbunge wangu wa jimbo la magu.
 
wacheni kumpa tumaini mnyika, nimefanya kautafiti hasa kwa wanawake wamesema hawampi
 
wacheni kumpa tumaini mnyika, nimefanya kautafiti hasa kwa wanawake wamesema hawampi

Kaka mie kautafiti kangu kanaonyesha watampa kura za ndiyo.
Kwa mtu makini kama Amavubi anapaswa kuona u muhimu wa kuwa na mbunge aina ya Mnyika.
 
Last edited by a moderator:
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"
Mnyika alete maji hiyo sio kazi ya mbunge
 
Kaka mie kautafiti kangu kanaonyesha watampa kura za ndiyo.
Kwa mtu makini kama Amavubi anapaswa kuona u muhimu wa kuwa na mbunge aina ya Mnyika.
umeugusa ukweli wa rohoni na ndiyo maana nina jakamoyo sana nikiona wanasema hawatampa eti sababu ya maji lkn amini usiamini....................na wameshau kwamba maji hayajakauka wakati wa Mnyika, tatizo la maji Kimara lina umri sawa na Jimbo lenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom