Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

watanzania bado sana....hatujui hata wap pa kudai haki zetu za msingi...CCM ndo adui wetu namba moja Wa maendeleo ya nchi hii....juzi nilipokuwa namsikikiza le profeseee akiongea na wazee sijui Wa dar niliumia moyo sana kwa sababu hata Mwenyekiti wangu Wa kitongoji anahoja kuliko alichokuwa anakizungumza na kujichekesha pale...mleta mada ebu tafakari je hizo bilioni za escrow walizoiba zingetosha kusambaza Maji mikoa mingap ya Tanzania..!!? je kweli uoni juhudi za mnyika na wabunge Wa upinzani kukutetea na kutetea watanzania bungeni kuhusu Maji na mengine? binafsi nimejiapiza na familia Yangu na naenda zaidi ya familia Yangu kuamasisha kujiandikisha na kupigia kura upinzani kuwatoa hawa majizi na intarahamwe Wa Tanzania.
 
Ccm miaka 45 ya uhuru wameshindwa kupeleka maji ubungo,unamuhukumu mnyika kwa miaka 5,isitoshe unaonaje hela ya madafu ya escrow isingepunguza tatizo.mpaka tuwatoe wote,tuchukuwe dola ukawa ndiyo pesa itadhibitiwa ili iende kwenye miradi ya maendeleo.
 
Mleta mada naomba unijibu swali moja rahisi sana, hivi kwa mfano boss wa baba yako akimnyima mshahara baba yako kwa madhumuni ya kutaka kumkomoa ili familia yenu isipate japo hata milo mitatu kwa siku na ni haki yake kupata huo mshahara utamlaumu baba yako au boss wa. Baba yako..?? Na hapohapo kwenye thread yako umekiri kuwa kuna mizengwe inafanywa na wakubwa ili jimbo lenu la ubungo likose maji makusudi ,ili mnyika akose jimbo hilo wewe utakuwa huna akili sawasawa . Kumbuka kuna mbunge ambaye yupo kwa ajili ya wananchi pia kumbuka kuna waziri mwenye dhamani husika je waziri kajibu nini juu ya tatizo la maji ubungo..?? Pia manispaa kama yenyewe haijui kuwa ubungop kuna tatizo la maji..?? Je kama mbunge wako alishalipeleka hili swala hadi juu na wanampiga chenga lawama apewe nani..?? Fikilia kidogo ndugu sio unaamua

maamuzi ya haraka tu.



tatizo la maji ubungo ni la kitambo ambalo tuliahidiwa kuwa litatatuliwa ....majibu ya serikali mimi hayanihusu kwani ikiwa huyu mtu wa kawaida ameleta maji japo anatuuzia nashangaa mbunge aliyetuahidi anahangaika na mafaili bungeni anaongea mambo makubwa ambayo hayana athari chanya kwa mwananchi wa kawaida ukianza matusi knita mimi sina akili unakosea kwani mama yako jdo hana akili kwani alijinyea alipokuwa anakuzaa kwa kuwa amezoea kuliwa kabang
 
tatizo la maji ubungo ni la kitambo ambalo tuliahidiwa kuwa litatatuliwa ....majibu ya serikali mimi hayanihusu kwani ikiwa huyu mtu wa kawaida ameleta maji japo anatuuzia nashangaa mbunge aliyetuahidi anahangaika na mafaili bungeni anaongea mambo makubwa ambayo hayana athari chanya kwa mwananchi wa kawaida ukianza matusi knita mimi sina akili unakosea kwani mama yako jdo hana akili kwani alijinyea alipokuwa anakuzaa kwa kuwa amezoea kuliwa kabang

Matusi ya nini?Jambo la msingi jiulize nani waziri mwenye dhamana ya maji,kwanini kwenye bajeti ya kusambaza maji anaisahau Ubungo
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"
Umepotea njia nini
 
Swali La kujiuliza je Mnyika ana madiwani wa ngapi jimboni kwake ambao watamtetea.. Kingine prezdaa aliahidi kufanya naye mkutano mpaka leo kimya
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

vichaa wameanza kuruhusiwa humu
 
mnyika <cdm> mtekelezaji NA <ccm> kama mtoa fedha // NILIPI JEMA LINALOWEZA KUTENDEKA HAPA!
 
rais vip sio jukumu lake kukupatia maji tatzo watanzania hatujuh nafasi na jukum la nafasi husika unamlahum mbunge rais vip
 
Wewe unatekenywa hakupeleka, muswada wa kurekebisha, kwa waziri wa maji? Ulisikia majibu ya serikali? Ulitaka akabomoe mabomba wakati magembe alisema serikali inajipanga? Kwenda kaolewe zoba wewe
 
Heri Umpe Mnyika mara elfu ambaye tupo naye pamoja kuhakikisha maji yanapatikana kuliko magamba ambao miaka takribani hamsini hawajafanya kitu.Mnyika hoyeeeeeeeeee Mnyika Atosha wengine wa nini,hatutaki kukumbuka Matrso ya kukaa miezi mitatu bila maji.
 
Kama ni mnyika, kwenye suala la maji amehangaika nalo sana, mnyonge mnyongeni haki zake mpeni, mnyika akiondolewa ubungo, wana ubungo watajuta daima.
 
Wewe unatekenywa hakupeleka, muswada wa kurekebisha, kwa waziri wa maji? Ulisikia majibu ya serikali? Ulitaka akabomoe mabomba wakati magembe alisema serikali inajipanga? Kwenda kaolewe zoba wewe

Huyu mhamiaji haramu anafikiri si hatujui,sisi wanaubungo tunajua jitihada za Mnyika kuhakikisha Dar nzima inapata maji
 
rais vip sio jukumu lake kukupatia maji tatzo watanzania hatujuh nafasi na jukum la nafasi husika unamlahum mbunge rais vip

Kwa heshima na taadhima nitakujibu hivi kama RAHISI wako wa nji hii.Niko busy kukwapua pesa za WADANGANYIKA kwa sasa maendeleo sijisumbui. NA ya NNJI ya DANGANYIKA imenishinda,na kwa sasa napanga safari ya kwenda kufanya check up,si mwajua kuwa nilifanyiwa operation ya TEZI DUME,halafu bado nina ED ya miezi tisa,sitakiwi kuwa na STRESS.

Ila kama kuna ESCROW nyingine mniambie itakuwa FASTA tu.
 
Tatizo mnashindwa kuelewa kitu kimoja kuwa siasa ni mchezo mchafu na wakati wa kampeni mtu kuomba kura ili wananchi wamchague ni sawa na kumtongoza mwanamke ili akukubali hapo nikiwa na maana utaahidi hata vitu usivyokuwa na uwezo navyo ili mradi tu umpate huyo msichana hali kadhalika kwenye siasa ni hivyohivyo watu huwaaidi wananchi kuwapa vitu wasivyo kuwa na uwezo navyo ili mradi tu apate kura yako, thats why i hate politics and politicians!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom