Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,643
- 164,790
- Thread starter
-
- #121
Mnyika leo alikuwa anamwaga madini wabunge wa CCM idiotically wakawa wanapitisha miswada kwa speed ya hatari sijui walikuwa wanawahi wapi ?
Kwakweli am proud na Mh mnyika watu kama hawa ni hazina kwa taifa letu....ubungo mna bahati sana kupata mbunge bora na makini kama jj
hatuna maji mpaka leo,atufanyie mpango wa maji kwanza
Nadhani ungeanza na Zitto Kabwe maana ni mbunge pekee katika bunge linaloendelea aliyepeleka hoja nyingi bungeni zenye masilahi kwa taifa na kupelekea mawaziri na viongozi kadhaa kujiuzuru kwa nyakati tofauti katika kipindi chake cha miaka 10 bungeni.
Hata suala la ESCROW ambalo CDM wamelitumia sana kujiuza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Mnyika alikuwa wapi wakati Kafulira na Zitto wanahangaika nalo na CAG! CDM walikuja kudandia na kutaka eti kutoka bungeni baada ya kuona hiyo issue inaweza kuwa boost kisiasa!
principally the man with topic has mentioned on Mnyika not being qualified but competent more than those who are qualified.Learn to criticize sensible affairs you should not erupt on objecting matters which are clearly identified.who has mention on Mnyika being qualified?
nadhani ni busara kuelewa hoja ya mtoa hoja sio kwakua unaweza kureply post basi ukajikuta unaandika hata mambo yasiyo na mantiki.mtuma topic kazungumzia umakini na utendaji bora wa kazi apart from Minyika si mtu wa field husika.thats it
Baada ya ZZK sasa ni Mnyika;
................. Maji ubungo tu ndio msiba wake................
Mkuu Salary Slip, asante kwa kuliona hili!. Kumbe nyota JJ Mnyika wewe ndio umeiona leo?!. Hebu pitia hapa uangalie sisi wenzio tuliona lini na uangalie tarehe ya post, ulinganishe ilikuwa ni siku ngapi kabla ya uchaguzi!, yaani tulimuona hata kabla hajawa mbunge!. JJ. Myika, Ubungo Yako, Njia Nyeupe!.Naomba niseme tu,mh.Mnyika ni mbunge bora katika utungaji wa sheria katika bunge letu.
Tuna mawaziri na wabunge wasomi lakini Mnyika japo hana elimu kama wao,ame-prove to be the best lawmaker.
Huyu mh. ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kutetea hoja zake katika upitishaji wa vifungu vya sheri ila wingi wa wabunge wa CCM ndio kikwazo cha nchi hii kupata sheria bora.
Kwakweli he is very impressive awapo ndani ya bunge.
Ningekuwa na uwezo,huyu mh.ningemzawadia gari "brand new".
Tujenge utamaduni wa ku-pick the best legislator na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wabunge wanaotambua wajibu wao kwa umma.
Kwa wanaofuatulia bunge wataukubaliana na mimi ila kwa wale wenye wivu,wataleta hapa kejeli na siasa tu and nothing else.
Mkuu Salary Slip, asante kwa kuliona hili!. Kumbe nyota JJ Mnyika wewe ndio umeiona leo?!. Hebu pitia hapa uangalie sisi wenzio tuliona lini na uangalie tarehe ya post, ulinganishe ilikuwa ni siku ngapi kabla ya uchaguzi!, yaani tulimuona hata kabla hajawa mbunge!. JJ. Myika, Ubungo Yako, Njia Nyeupe!.
Pasco
Mbona maji hajaleta Ubungo kazi kubwabwaja tu!
Mkuu Salary Slip, asante kwa kuliona hili!. Kumbe nyota JJ Mnyika wewe ndio umeiona leo?!. Hebu pitia hapa uangalie sisi wenzio tuliona lini na uangalie tarehe ya post, ulinganishe ilikuwa ni siku ngapi kabla ya uchaguzi!, yaani tulimuona hata kabla hajawa mbunge!. JJ. Myika, Ubungo Yako, Njia Nyeupe!.
Pasco
Zitto ni the most active!, sio most briliant!. JJMnyika ndie mbunge makini kuliko wote wa upinza kwenye hili bunge!.Mkuu Pasco sio kwamba jamaa ako zito ndio the most brilliant lawmaker? Hebu tafakari upya bana
Hv mnajua kuwa Mnyika kuwa saiz ana Masters?Msiwasıkıli watu wa CCM na kelele zao.Mnyika nı Msomi.Bado sisi tuna utamaduni kuwa kama mtu hakwenda UDSM basi sio msomi na hana degree.Fuatilıenı mmjue JJM.
Zitto ni the most active!, sio most briliant!. JJMnyika ndie mbunge makini kuliko wote wa upinza kwenye hili bunge!.
Pasco
Zitto ni the most active!, sio most briliant!. JJMnyika ndie mbunge makini kuliko wote wa upinza kwenye hili bunge!.
Pasco
Ndugu,wanapinga ukweli huu ni wale wenye wivu tu na chuki za kisiasa.Sio wa upinzani tu, wabunge wote wa bunge la jamuhuri, kama huamini ninachokuambia jaribu kuangalia wakati bunge linapokaa kama kamati ndio utajua Mnyika ni nani. Na ni karibu miswaada yote anaweza kujenga hoja na kurekebisha mapungu mengi yanayoletwa katika miswaada ya serekali. Kama ni mwanafunzi ni yule mwenye uelewa wa masomo yote ite math, geography, chemistry, physics etc.
ficha ujinga wako basi brother mpaka kila mtu ajue kuwa umesomea shule za kata na chuo cha kataWatunga sheria wanaitwa learned brothers and Sisters huyo mnyika hata degree hana.Acha kudhalilisha fani ya wanasheria.
Kwa mfano,yule waziri wa sheria,Angela Kairuki na AG ni hopeless kabisa.Hawataki kabisa kubadilika kulingana na wakati.Wanang'ang'ania kuweka vifungu ambavyo vimeshaonyesha udhaifu mkubwa kwa kutoa mwanya kwa watu kutumia madaraka yao vibaya.Mifano iko mingi lakini hawataki kubadilika sijui kwa maslahi ya nani!Kwa kweli ndugu huyo Mnyika kutokana na uwezo wake hata kama angekuwa hajafika darasa la saba kwangu mimi ningempa Uprofessor, maana kijana ni kichwa haswa achana na wale wahuni wanaotambia sijui bachelor, masters na upuuzi mwingine kama huo wakati hawana uwezo hata wa kujenga hoja za ushawishi kwa dk kumi.