Tatizo nchi hii tunaogopana kuambiana ukweli, mwizi ni mwizi tu hata utumie maneno gani ya kumbaka mafuta atakuwa mwizi tu, neno dhaifu sio tusi kabisa hebu nendeni kwenye kamusi ya kiswahili limeelezewa vizuri tatizo hamtaki kuwaambiwa ukweli, hatutaweza kusonga mbele kama hatutajenga utamaduni wa kuambiana ukweli, umeharibu yafaa uambie hapa umeharibu, umeonyesha udhaifu kwenye utendaji uambiwe wewe dhaifu, hata Lowasa alishasema mbona hamkulalamika?