Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
...Soma vizuri post, barabara zimetajwa hapo juu na palestina haijatajwa sasa ulitaka ikae sawa kivipi? Kama unaishi Sinza, na pita bararaba ya kuanzia pale kwa Remmy Azania Guest, kata na ile inayoenda Sinza Catholic church nenda hadi Lion mpaka kufika ktk Lami pale T garden. Mabadiliko yapo makubwa kwa barabara nyingi za sinza kwa upande wa Sinza C,D na E huku maieneo ya Palestina kama sikosei ni Sinza B na huku Mori, Meeda sinza A hakuna mabadiliko bado
Na pia wafahamu kuwa hata Jando lilikuwa Govi so wasije fikiri kuwa kwa Mr P kuwa Diwani ndio maendeleo Sinza yatakuja ghafla.
Ameanza na hayo aliyoyataja na sasa the sagga continua, kila kitu huenda kwa awamu.
kijana hata mwaka hajamaliza lakini mabadiliko yanaonekana.
Kazi iko kwa ndugu zetu waliokaa madarakani miaka 50 lakini nchi uharo mtupu.