Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Lowassa ni janga jingine piaHatuna waziri mkuu. How I miss Lowassa!
Lowassa ni janga jingine piaHatuna waziri mkuu. How I miss Lowassa!
Haahahahaah safi sana Naibu Spika! Kwanza apeleke hoja kwenye Kamati kuu ya Chadema kwa kutokuwa na Imani na mbowe baada ya kuidanganya kamati kuu kuwa kuna Mazungumzo ya Muafaka kati ya CDM na Waziri Mkuu!
<br />The whole issue proves me right! Nishtushwa na majibu ya WM kuhusu mgogoro wa Arusha na kwakweli sikuwa na imani nae kuhusu majibu yake na yeye binafsi. Nilijiuliza kama wabunge wote wameridhika basi litakuwa ni tatizo. Angalau Mnyika amenithibitishia kwamba angalau kuna wabunge ambao nao hawakuridhika kama mimi!
Kwani hapo Naibu Spika amekosea nini.
Mimi naona amempa sasa nafasi nzuri sana kueleza hoja yake kwa kituo tena akishauriana na wenzake namna ya kuitoa mchicha.
Mnyika nadhani mpaka sasa hivi munajuwa Bunge la Jamhuri la muungano lipo kutekeleza matakwa na maelekezo ya serikali ya CCM,tumeona wenyeviti ,spika na naibu wake wanavyowafokea kama watoto na wanavyowaona kama vile nyie hamstahiki wala hamuwakilishi wananchi,lakini sisi tunaona sana,jambo moja tuu kama nyie mulivyokosa imani na Waziri Mkuu,kiongozi wa Serikali bungeni sisi sote hivyo hivyo,sisi ni Supreme Court leteni Hoja sisi tutajua tutakavyoamua
Waziri mkuu amechafuka katika maeneo mengi tuu,kuna watu wanachubuana kwenye kugombea vyakula vya msaada,wana kula pumba,mafuta yamezuia na wahindi na waarabu,umeme ndio mgao kama kawa,bado watu wanababuka ngozi kunywa maji ma sumu, rasilimali zinaporwa unataka aibu gani wakati watu wanajinyonga kila siku kwa sababu maisha magumuWrong timing, Mnyika kachemka. Sasa hivi hakuna vuguvugu la skandali au wigo mkubwa wa unpopularity on Mizengo Pinda. Ni hoja dhaifu mno. Huna imani na Pinda kwa lipi, kutetea serikali wakati wa maswali ya papo kwa papo?
Angesema wakina Ngeleja angeeleweka, Pinda kwa sasa hana chafuko la kuamsha hisia kali za wananchi kumuondoa.
Mimi ni kati ya watu wengi wadogo ambao tunafanya serikali hii iendelee kupanic na bado watachezeshwa ngoma ya mdondoWw ni mtu mdogo sana nchi hii, wala huwezi kuifanya chochote dola !
TOKA ZAKO HUKO WEWE WOOTE WANAKUSHAWISHI TUU HATA MKWELE (jk) ALIKUSHAWISHI!jamaa alipatangaza kuwa eti ni mtoto wa mkulima hata mimi nilishawishika kuamini hivyo, looh! hata mwezi haujapita wa mazao kuvunwa yeye keshachukua ya kwenye maghala.
inakera kweli,yale maandishi ya zito kuhusu huyu huyo pindo hatukuyaona.
<br />Kwani ya Lema kuhusu Pinda kulidanganya bunge uliyaona?? Yaani wamemwambia akkandike ili wasomeeeeeeeeeeee wampe nae asomeeeeeeee halafu wapotezee na aandae majibu ya vijembe!!
<br />Hatuna waziri mkuu. How I miss Lowassa!
<br />Hatuna waziri mkuu. How I miss Lowassa!