Mnyika ameomba muongozo wa spika na alistahili kupewa muongozo huo palepale au baadaye kama ambavyo naibu spika angeona inafaa.
Hata hivyo muongozo huo ulitolewa baadaye kwamba afuate utaratibu wa kupeleka hoja kwa maandishi.....
Naibu spika alikosea kwa kupaniki kama ilivyokuwa wakati ule Lema alivyoomba mwongozo kwa spika kuhusu uongo wa PM, lakini yeye amejisahihisha kwa kutoa muongozo baadaye.
Hata hivyo muongozo huo ulitolewa baadaye kwamba afuate utaratibu wa kupeleka hoja kwa maandishi.....
Naibu spika alikosea kwa kupaniki kama ilivyokuwa wakati ule Lema alivyoomba mwongozo kwa spika kuhusu uongo wa PM, lakini yeye amejisahihisha kwa kutoa muongozo baadaye.