Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
- Thread starter
- #61
Asante sana kamanda MolemoHii ndiyo Chadema tuitakayo.
Asante sana kamanda MolemoHii ndiyo Chadema tuitakayo.
tanzania nzima sasa ni chadema chadema
vita ni vita muraaa.. Liwe jua au mvua... Taget yetu ni magogoni, rasilimali za watanzania zitumike kwa maendeleo ya watanzania, rushwa sasa basi...wananchi wakiamua linawezekana.. Tukutane oktoba; peopleeeeeeeeeeeee...
Nbona hakuna fisi na maroli?
Swissme
kila la heri mnyika .piga mikutano ya nguvu huko kanda ya ziwa.
Naibu Katibu Mkuu Chadema John Mnyika amezidi kuisambaratisha CCM kwa kuhutubia maelfu ya watu katika mkutano mkubwa wa hadhara unaondelea jioni hii hapa Busega.
Katika ziara hiyo Mnyika amefuatana na Katibu Mkuu BAVICHA Julius Mwita.
Mnyika ameendelea kulaani sera mbovu za CCM zilizosababisha umaskini mkubwa kwa wananchi.
Mnyika alilakiwa kwa kishindo kikubwa alivyoingia Busega kwa watu kadhaa kuchana bendera za CCM na kuzitupa barabarani huku wakiimba nyimbo za kuisifu Chadema na viongozi wake.
Soma vizuri Geographia ya Nchi yako niko kwenye Msafara nikudanganye mimi si walumumba wala siko hapa kufanya MaigizoHizi habari za uongo ni dalili ya mtu kutetea unga wake, kwanza hakuna sehemu inayoitwa busega wala hakuna kijiji cha busega, Busega ni sawa na kusema Mara, kuna mkoa wa mara lakini hakuna sehemu inayoitwa mara kuna musoma tarime bunda etc.
Sasa hapo ni Nyashimo Lamadi au Nyamikoma?
Hizi habari za uongo ni dalili ya mtu kutetea unga wake, kwanza hakuna sehemu inayoitwa busega wala hakuna kijiji cha busega, Busega ni sawa na kusema Mara, kuna mkoa wa mara lakini hakuna sehemu inayoitwa mara kuna musoma tarime bunda etc.
Sasa hapo ni Nyashimo Lamadi au Nyamikoma?
SASA HII AIBU CHAMA KINA ZAIDI YA MIAKA 20 WATU HATA UWANJA WA OFISI YA KIJIJI HAWAJAI!!!i