Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
- Thread starter
- #101
Chadema nimpango wa MunguHawana wafuasi tena , wenye akili washahamia ACT - WAZALENDO
Chadema nimpango wa MunguHawana wafuasi tena , wenye akili washahamia ACT - WAZALENDO
Chadema watanzania hawaitaki tenaWatanzania wanaitaka ACT Wazalendo
Chadema watanzania hawaitaki tenaWatanzania wanaitaka ACT Wazalendo
Chadema watanzania hawaitaki tenaWatanzania wanaitaka ACT Wazalendo
jua maana ya uzalendo ndio nawe uende ACT
kwa jina la chadema unaweza ukaitisha mkutano popote
Acha uongo, huo mnara wa simu nyamikoma uko maeneo gani?
Chadema watanzania hawaitaki tenaWatanzania wanaitaka ACT Wazalendo
UWIIIII...... nimekosea njia(ACT) , ngoja nirudi chamani( CHADEMA)
hivi power mabula bado yupo duniani?Na bila kufanya promo yoyote ya kutumia jina la mtu
Mkutano wa kisiasa kinachotangazwa ni chama kuwa leo chama fulani kitakuwa na mkutano sehemu fulani. Hizi sio enzi za kutangaza kuwa power mabula atakuwa sehemu Fulani
Chadema watanzania hawaitaki tenaWatanzania wanaitaka ACT Wazalendo
Hawana wafuasi tena , wenye akili washahamia ACT - WAZALENDO
lile tawi linaloongozwa na mfalme --------- Zitto..
SASA HII AIBU CHAMA KINA ZAIDI YA MIAKA 20 WATU HATA UWAJA WA OFISI YA KIJIJI HAWAJAI!!!i