Mnyika Azidi Kuchanja Mbuga Aivuruga CCM Busega

Mnyika Azidi Kuchanja Mbuga Aivuruga CCM Busega

kamanda hii ngoma ni leo bro. Yani hadi raha.mpaka mwez wa nane , tisa nakuambia mtaitambua chadema.

Sasa mnajiandikisha ? Mmeanza kujiandikisha ? Ujumbe we wana Chadema kujiandisha na waje na marafiki na wapenzi Chadema una sambaa ? Je mnajuwa katika msingi hadi matawi majina na waiga kura wa Chadema ? Je zile kura zenye mashaka bado mnaziachia au mmesha anza maongezi kirafiki wawape kura ? Je mnasaidia Mdee kuwapata wamama na wadada ambao hawaijua CCM ?
 
Sasa mnajiandikisha ? Mmeanza kujiandikisha ? Ujumbe we wana Chadema kujiandisha na waje na marafiki na wapenzi Chadema una sambaa ? Je mnajuwa katika msingi hadi matawi majina na waiga kura wa Chadema ? Je zile kura zenye mashaka bado mnaziachia au mmesha anza maongezi kirafiki wawape kura ? Je mnasaidia Mdee kuwapata wamama na wadada ambao hawaijua CCM ?

Kamanda Hata ccm wanajua chadema ndio kinaingia ikulu ndio maana mpango wao wa uwandikishaji unasuasua sana kipindi hiki kila mwenye miaka 18 na zaidi wataandikishwa na hari na nguvu yote ni Chadema nguvu moja
 
sasa mnajiandikisha ? Mmeanza kujiandikisha ? Ujumbe we wana chadema kujiandisha na waje na marafiki na wapenzi chadema una sambaa ? Je mnajuwa katika msingi hadi matawi majina na waiga kura wa chadema ? Je zile kura zenye mashaka bado mnaziachia au mmesha anza maongezi kirafiki wawape kura ? Je mnasaidia mdee kuwapata wamama na wadada ambao hawaijua ccm ?

kamanda hayo maswali yako yana majibu. Hii kazi inafanyika kila ngazi kuanzi jimbo, tarafa, kata, kijiji, mtaa/kitongoji. Ktk jimbo lango juz jmos kulikuwa na vikao na makamnda wote wa kata na vijiji vyote ndani ya jimbo mkuu. Tunafanya kaz kama siafu tuna machungu na hii nchi bro. Tunajitolea bure na hatulipwi. Kaz ya kuikomboa hii nchi na mkoloni mweusi bro sio rais. Ni ngumu kuliko ile ya kuwatoa wazungu mana huyu mtu mweusi tunajuana sana ndo mana inakuwa ngumu. Ni sawa na man u kucheza na man city, mana wote hutoka jiji moja hivyo hujuan sana. Hawa wakoloni weusi watatoka tuuuuuu. Nasema watatoka tuuuujj...
 
POWEERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR......[QUOTE=Rahim Ahmed;12518679]peopleeeeeeez[/QUOTE]
 
CCM wameweza kweli kumtumia zto...Walijaribbu kumtumia akiwa ndani ya chadema wakashidwa .....sasa hivi akiwa nje hataweza
 
Utaona kesho ACT nao wanapitia hapo
 
kamanda hayo maswali yako yana majibu. Hii kazi inafanyika kila ngazi kuanzi jimbo, tarafa, kata, kijiji, mtaa/kitongoji. Ktk jimbo lango juz jmos kulikuwa na vikao na makamnda wote wa kata na vijiji vyote ndani ya jimbo mkuu. Tunafanya kaz kama siafu tuna machungu na hii nchi bro. Tunajitolea bure na hatulipwi. Kaz ya kuikomboa hii nchi na mkoloni mweusi bro sio rais. Ni ngumu kuliko ile ya kuwatoa wazungu mana huyu mtu mweusi tunajuana sana ndo mana inakuwa ngumu. Ni sawa na man u kucheza na man city, mana wote hutoka jiji moja hivyo hujuan sana. Hawa wakoloni weusi watatoka tuuuuuu. Nasema watatoka tuuuujj...


Kazi nzuri Kamanda. Mungu wetu Ni mwema. Tukimaliza Kazi, tutavalishwa taji!!!
 
duuu aisee huko bariadi wasaliti wameambulia patupu wameenda maswa kujaribu bahati kwa shibuda
 
chadema ni chama makini sana wana mbinu mkakati za kisasa kabisa huju jonh mnyika huku salimu mwalimu
kule pr safari ngwiji la sheria
 
Hakika ukiona msaliti na wasaliti wenzake wanainuka kutaka kuzuia ukombozi ujue saa na wakati wa ukombozi imetimia, 2015.
 
Haturudi nyuma mabadiliko lazima october
 
yani pamoja na kuingia Act bado mnakimbiza hivi! kweli wasaliti tuna kazi
 
Ndiyo Chademakwanza nakuona uko na Mnyika hapo . Mimi sijaelewa naomba maelezo kwako mleta mada . Huu ni mkutano wa mwaka 2010 au mkutano wa lini ? Kwani bado Chadema wana nguvu hivi ? Naomba majibu kwako mleta picha tafadhali . Chademakwanza .

Mkuu Lunyungu hii ni kazi ya leo. Mwitikio ni wa kipekee sana. Wananchi wameamka na wamehamasika. Wanatataka maendeleo sasa; blah blah za CCM washachoka kitaaambo sana

Viva le CHADEMA; chama makini
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Lunyungu hii ni kazi ya leo. Mwitikio ni wa kipekee sana. Wananchi wameamka na wamehamasika. Wanatataka maendeleo sasa; blah blah za CCM washachoka kitaaambo sana

Viva le CHADEMA; chama makini

Hii ndiyo Chadema tuitakayo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom