Ahsante Mungu, kwa kuwa macho yangu yameuona ukombozi wa Watanzania!. Natamani baba yangu angekuwapo kuyashuhudia haya!.
Watanzania tuilinde hazina ya taifa - CHADEMA.
Ni mtaji wa uhai wa nchi ya Tanzania.
Kwa nia moja, moyo mmoja, nguvu moja, maarifa yetu yote na nguvu zote, tushikamane sasa kutoa support kwa viongozi wetu CHADEMA. Lengo moja ni kuinua maisha na thamani ya Mtanzania chini ya uongozi makini wa CHAMA SAFI, CHADEMA!.
Mungu yuko nasi, tutafika salama!.
Maneno yako ya hekima yamenibariki sana