goggles
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,415
- 2,358
ID yako hiyo ushaeleweka!mlizoea dezo,bure bila jasho,dili,haramu,ujangili sasa hakuna tena!! yale mambo ya baba sijui mjomba ni nani pale akubebe hakuna!! nasema hakuna......endeleeni kulialia huku wakati unaenda sisi tulio na halali zetu tupige kazi!!
he was very corrupt
Unanitukana arafu nikuripe?!Umemsahau huyu aliye muumbua na kumfuta mzee wa watu kazi mwisho/ikapelekea MAUTI.....
