Mnyambulisho wa K' Matata

Mnyambulisho wa K' Matata

sawa K matata alafu kuna siku nimeota NN mmeoana eti😊.leo ndo nakumbuka😊😊😊

Hehehehehheee looh

NN umemaanisha Nyani Ngabu Monkey Pie James Jeddah the man himself always imitated but never duplicated...!!???

Atii homosapian, na wewe ulishaota kuwa unamuoa Kasie Mahaba Matata. .!!??

Manee, imekuwaje leo ukakumbuka hii ndoto?
 
Hehehehehheee looh

NN umemaanisha Nyani Ngabu Monkey Pie James Jeddah the man himself always imitated but never duplicated...!!???

Atii homosapian, na wewe ulishaota kuwa unamuoa Kasie Mahaba Matata. .!!??

Manee, imekuwaje leo ukakumbuka hii ndoto?


😂😂😂OMG huo utambulisho huo uwiiiii.... kwelikbs acha niendelee kuota na nifany"fulusa"....ila umemtambulisha kimahabaaaa😊😊😊
 
😂😂😂OMG huo utambulisho huo uwiiiii.... kwelikbs acha niendelee kuota na nifany"fulusa"....ila umemtambulisha kimahabaaaa😊😊😊

Hahahahahahaaa hizo ni aka zake sio kuwa nimemptambulisha. Nilikuwa nazidadavua kuhakiki NN ndo huyo niliemuelewa mimi?

Kuna fursa gani hapo tuipige wote??!
 
Hahahahahahaaa hizo ni aka zake sio kuwa nimemptambulisha. Nilikuwa nazidadavua kuhakiki NN ndo huyo niliemuelewa mimi?

Kuna fursa gani hapo tuipige wote??!
😂😂naotaga ndoto zinazofanana na ukweli na nyingine huwa kweli..
 
Hahahahahahaaa hizo ni aka zake sio kuwa nimemptambulisha. Nilikuwa nazidadavua kuhakiki NN ndo huyo niliemuelewa mimi?

Kuna fursa gani hapo tuipige wote??!


aisee unajua kumbebisha beibi..khaa ngoja nijifunze kupitia ww..😊😊 wifi!
 
Back
Top Bottom