Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,501
- 41,914
Habari za kuamka mabibi na mabwana,
Popote pale ulipo ukiwa unasoma huu uzi, salamu za kheri zikufikie.
Kichwa cha uzi chahusu Chimbuko la familia aka Family Tree. Kwenye kitabu kimojawapo cha dini kiliandika kuhusu laana kumpatiliza mtu hadi kizazi chake cha nne. Kizazi cha nne kurudi nyuma wewe/mimi nikiwa hicho kizazi cha nne, kizazi cha kwanza ni babu wa wazazi wetu ama wazazi wa babu zetu.
Naamini ni watu/familia chache sana hubahatika kuona vizazi vya tano na sita ama mimi na wewe tukiwa vizazi vya tano na sita ni mara chache sana kukuta tumeona kizazi cha sita kurudi nyuma yaani hata sijui uwaiteje.... kwa lugha ngeni grand grand parents huko.
Labda najiuliza, nini maana ya kujua chimbuko la ulikotoka ama kizazi cha nne, tano au sita kurudi nyuma.
1. Kujua haswa magonjwa ya kurithi
2. Kuna vitu vinatembea kwenye familia kama mkono wa biashara au uongozi n.k.
3. Saa nyingine ni faida ya vizazi vijavyo hata kuhifadhi picha zao.
Binafsi natamani kufanya hii family Tree ila sijaipa kipaumbele.
Kuna mtu alinigusia, kuna nguvu za asili nyuma yake... wengi huishia njiani na wako wanaotunza huu utamaduni.
Sina mfano wowote wa familia zilizoweka hii family Tree ukiacha Royal Families....
Wasalaam,
Kasinde Mahaba Matata.
Popote pale ulipo ukiwa unasoma huu uzi, salamu za kheri zikufikie.
Kichwa cha uzi chahusu Chimbuko la familia aka Family Tree. Kwenye kitabu kimojawapo cha dini kiliandika kuhusu laana kumpatiliza mtu hadi kizazi chake cha nne. Kizazi cha nne kurudi nyuma wewe/mimi nikiwa hicho kizazi cha nne, kizazi cha kwanza ni babu wa wazazi wetu ama wazazi wa babu zetu.
Naamini ni watu/familia chache sana hubahatika kuona vizazi vya tano na sita ama mimi na wewe tukiwa vizazi vya tano na sita ni mara chache sana kukuta tumeona kizazi cha sita kurudi nyuma yaani hata sijui uwaiteje.... kwa lugha ngeni grand grand parents huko.
Labda najiuliza, nini maana ya kujua chimbuko la ulikotoka ama kizazi cha nne, tano au sita kurudi nyuma.
1. Kujua haswa magonjwa ya kurithi
2. Kuna vitu vinatembea kwenye familia kama mkono wa biashara au uongozi n.k.
3. Saa nyingine ni faida ya vizazi vijavyo hata kuhifadhi picha zao.
Binafsi natamani kufanya hii family Tree ila sijaipa kipaumbele.
Kuna mtu alinigusia, kuna nguvu za asili nyuma yake... wengi huishia njiani na wako wanaotunza huu utamaduni.
Sina mfano wowote wa familia zilizoweka hii family Tree ukiacha Royal Families....
Wasalaam,
Kasinde Mahaba Matata.