HahahahaHehehehee weeh kweli umenogewa hahahah
HahahahaOkie dokie..... taratibu huko kuchanganyikiwa, usinisababishie nikashitakiwa kwa mada kesi bure heheheheee. ....
Hahahaha
Huwezi pewa Mada kesi
Ila naenda Tanzania Heart Institute .
Kuangalia km moyo umekaa sehemu sawa,maana dah K' wa Kasie K' Matata si mchezo
K' Matata mahaba moto moto ,hatari sana,weka mbali na watotoHahahahahahaaa umenikumbusha mistari ya wimbo wa soko.....
Na mashairi ya mzee Yusuph.... kupendwa ndio hukuu. .....
K' Matata Mahaba Moto moto.
Asante aisee mama la mamaAahahahahhahaaa Jozeee poleee
Ni K' Matata tuu.
Hahahahahahaaa
Wee mtu weewee, umenikumbusha uzi mmoja ulianzishwaga kitamboo, watu walikuwa wanachekaa tuu yaani kila anayeingia anacheka na hakuna anayejua mwenzake anacheka nini hahahahahahaa
Acha nikuitie, aaahahahahahahaaa.
Eehehehheheee enjoy while it last....
K' Matata Mahaba.
HahahahaMtu chakeee
Unachezaga mziki wewe??
Mkuu una watoto ? Nakuona kama vile umtulia kama maji bardi ya mtungini.Eehehehheheee enjoy while it last....
K' Matata Mahaba.