Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
Ningeomba wana MMU wooote tukutane xmass hii kwa ajili ya kubadilishana mawazo live na kuifurahia siku kuu hii kwa pamoja tukila na kunywa. Nitajitolea round moja kwa kila mtu. Nimeona nifanye hivi kwa upendo tu kwa vile humu jamvini ni kama tumekuwa kama familia sasa. Tumeshauriana mengi sana na kujifunza mengi kupitia ushauri au mda wanazotoa memba wengine. HAKUTAKUWA NA HAJA YA KUJITAMBULISHA ID YAKO YA MMU. (Ikiwepo hii watu watasusa najua)
Basi pia ningeomba mpendezeke sehemu ya kukutana na mda. (sehemu ambao itapendekezwa na memba wengi ndio itapita)
Karibuni sana kwa mapendekezo. Waweza kupendekeza siku hiyo kuwepo nini ili kutia nakshi zaidi
Basi pia ningeomba mpendezeke sehemu ya kukutana na mda. (sehemu ambao itapendekezwa na memba wengi ndio itapita)
Karibuni sana kwa mapendekezo. Waweza kupendekeza siku hiyo kuwepo nini ili kutia nakshi zaidi