Mnishauri kuhusu huyu askari police

Mnishauri kuhusu huyu askari police

nikubhilikile uje

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2016
Posts
264
Reaction score
243
Habari za usiku wanandugu wenzangu.
Nirejee kwenye head line mimi namchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mungu akijalia mwezi wa 12 tunafunga pingu za maisha kiukwel tumetoka mbali ni zaidi ya miaka 10 tukiwa o' level mapaka sasa tuko kwenye mahusiano yeye yuko mkoa mwingini ndipo sehemu yake ya kazi na mimi niko dar ndipo ninapofanyia kazi tumeishi kwa amani sana na furaha kwa kila mtu kuchukulia madhahifu ya mwenzake kama sehemu ya mahusiano yetu.

Huyu mchumba wangu ni askari police kanieleza Mara kwa Mara manyanyaso anayoyapata katika sehemu yake ya kazi kuna mkuu wake wa kazi mmoja anamtaka kimapenzi imekuwa nikero kubwa sana tena sana amekwenda kwa matroni wa hapo kazini kwao kumueleza lakini hakuna msaada wowote ikabidi haende kwa mkuu wa kituo kabisa lakini kinachotokea ni kuteteana mabosi kwa mabosi hakuna hatua zozote zile zinazochukuliwa hinamuuma sana mpaka anakuwa wa kulia tu kutokana kina anakoelekea kuomba msaada hasaidiwi kabisa.

Kwazini uwa wanashift za kazi anajikuta anapangiwa shift kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 8 mchana hakuna kupumzika na by saa 12 anaingia dolia na nikinyume cha sheria za kaz na wenzao hakuna anayeingia shift ya hvyo na huyo police anamwapia kwa kumwambia mpka hatanyooka tu na mpaka atamkubari tu yaani anamfanyia visa sana kilichonokela zaidi ni leo yeye yuko off kuingia kazini mpaka kesho sasa huyo askari kamfuata nyumbani anamwambia haende kazini na wakati huo yeye yuko off na ratiba inaonyesha kesho ndio anaingia kazini na ""anamtambia cha moto utakiona na mpaka utanikubali tu na anamwambia maneno yasiyo kuwa ya msingi mpka kafikia hatua ya kutaka kuchukua maamuzi mabaya ya kujitoa roho kwa manyanyaso ya huyo mkuu wake wa kazi.

Wanajamvi nifanyeje mninashauri analia tu na pia mpka wafanyakazi wenzake wanalalamika kwa anavyofanyiwa mchumba wangu kesha sema mara nyingi kwa kiongozi wake wa juu hakuna mwiitikio wowote ule.
 
Habari za usiku wanandugu wenzangu.
Nirejee kwenye head line mimi namchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mungu akijalia mwezi wa 12 tunafunga pingu za maisha kiukwel tumetoka mbali ni zaidi ya miaka 10 tukiwa o' level mapaka sasa tuko kwenye mahusiano yeye yuko mkoa mwingini ndipo sehemu yake ya kazi na mimi niko dar ndipo ninapofanyia kazi tumeishi kwa amani sana na furaha kwa kila mtu kuchukulia madhahifu ya mwenzake kama sehemu ya mahusiano yetu.

Huyu mchumba wangu ni askari police kanieleza Mara kwa Mara manyanyaso anayoyapata katika sehemu yake ya kazi kuna mkuu wake wa kazi mmoja anamtaka kimapenzi imekuwa nikero kubwa sana tena sana amekwenda kwa matroni wa hapo kazini kwao kumueleza lakini hakuna msaada wowote ikabidi haende kwa mkuu wa kituo kabisa lakini kinachotokea ni kuteteana mabosi kwa mabosi hakuna hatua zozote zile zinazochukuliwa hinamuuma sana mpaka anakuwa wa kulia tu kutokana kina anakoelekea kuomba msaada hasaidiwi kabisa.

Kwazini uwa wanashift za kazi anajikuta anapangiwa shift kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 8 mchana hakuna kupumzika na by saa 12 anaingia dolia na nikinyume cha sheria za kaz na wenzao hakuna anayeingia shift ya hvyo na huyo police anamwapia kwa kumwambia mpka hatanyooka tu na mpaka atamkubari tu yaani anamfanyia visa sana kilichonokela zaidi ni leo yeye yuko off kuingia kazini mpaka kesho sasa huyo askari kamfuata nyumbani anamwambia haende kazini na wakati huo yeye yuko off na ratiba inaonyesha kesho ndio anaingia kazini na ""anamtambia cha moto utakiona na mpaka utanikubali tu na anamwambia maneno yasiyo kuwa ya msingi mpka kafikia hatua ya kutaka kuchukua maamuzi mabaya ya kujitoa roho kwa manyanyaso ya huyo mkuu wake wa kazi.

Wanajamvi nifanyeje mninashauri analia tu na pia mpka wafanyakazi wenzake wanalalamika kwa anavyofanyiwa mchumba wangu kesha sema mara nyingi kwa kiongozi wake wa juu hakuna mwiitikio wowote ule.
Mkuu Polisi haina kitengo cha Kuwasilisha Manyanyaso na Malalamiko ya aina hiyo mpaka ifike hatua ya kutaka kujinyonga? Je wewe hujamshauri aache hiyo kazi ya Upolisi kama Bosi wake ana mtengenezea mazingia ambayo siyo Rafiki kwa Kazi Yake? Anashindwa nini Kuomba Likizo au kuomba Uhamisho au hata Likizo ya Masomo? Huyo Mchumba wako Uwezo wa Elimu yake upoje? Je Baada ya kukulamimikia wewe umempa ushauri gani kabla ya kuja Huku kuomba ushauri? Je Hana Ushirika na Polisi wenzie ambao anaweza kuwa shirikisha tatizo lake na wakampa mawazo na ushauri ya nini la kufanya?...
 
kuna askari magereza mmoja dodoma alishafanyaga mauaji kwa boss wake kwa kesi kama hii.. watu wa takukuru watusaidie hapo
 
Habari za usiku wanandugu wenzangu.
Nirejee kwenye head line mimi namchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mungu akijalia mwezi wa 12 tunafunga pingu za maisha kiukwel tumetoka mbali ni zaidi ya miaka 10 tukiwa o' level mapaka sasa tuko kwenye mahusiano yeye yuko mkoa mwingini ndipo sehemu yake ya kazi na mimi niko dar ndipo ninapofanyia kazi tumeishi kwa amani sana na furaha kwa kila mtu kuchukulia madhahifu ya mwenzake kama sehemu ya mahusiano yetu.

Huyu mchumba wangu ni askari police kanieleza Mara kwa Mara manyanyaso anayoyapata katika sehemu yake ya kazi kuna mkuu wake wa kazi mmoja anamtaka kimapenzi imekuwa nikero kubwa sana tena sana amekwenda kwa matroni wa hapo kazini kwao kumueleza lakini hakuna msaada wowote ikabidi haende kwa mkuu wa kituo kabisa lakini kinachotokea ni kuteteana mabosi kwa mabosi hakuna hatua zozote zile zinazochukuliwa hinamuuma sana mpaka anakuwa wa kulia tu kutokana kina anakoelekea kuomba msaada hasaidiwi kabisa.

Kwazini uwa wanashift za kazi anajikuta anapangiwa shift kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 8 mchana hakuna kupumzika na by saa 12 anaingia dolia na nikinyume cha sheria za kaz na wenzao hakuna anayeingia shift ya hvyo na huyo police anamwapia kwa kumwambia mpka hatanyooka tu na mpaka atamkubari tu yaani anamfanyia visa sana kilichonokela zaidi ni leo yeye yuko off kuingia kazini mpaka kesho sasa huyo askari kamfuata nyumbani anamwambia haende kazini na wakati huo yeye yuko off na ratiba inaonyesha kesho ndio anaingia kazini na ""anamtambia cha moto utakiona na mpaka utanikubali tu na anamwambia maneno yasiyo kuwa ya msingi mpka kafikia hatua ya kutaka kuchukua maamuzi mabaya ya kujitoa roho kwa manyanyaso ya huyo mkuu wake wa kazi.

Wanajamvi nifanyeje mninashauri analia tu na pia mpka wafanyakazi wenzake wanalalamika kwa anavyofanyiwa mchumba wangu kesha sema mara nyingi kwa kiongozi wake wa juu hakuna mwiitikio wowote ule.
Huna number za Sirro?

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
Habari za usiku wanandugu wenzangu.
Nirejee kwenye head line mimi namchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mungu akijalia mwezi wa 12 tunafunga pingu za maisha kiukwel tumetoka mbali ni zaidi ya miaka 10 tukiwa o' level mapaka sasa tuko kwenye mahusiano yeye yuko mkoa mwingini ndipo sehemu yake ya kazi na mimi niko dar ndipo ninapofanyia kazi tumeishi kwa amani sana na furaha kwa kila mtu kuchukulia madhahifu ya mwenzake kama sehemu ya mahusiano yetu.

Huyu mchumba wangu ni askari police kanieleza Mara kwa Mara manyanyaso anayoyapata katika sehemu yake ya kazi kuna mkuu wake wa kazi mmoja anamtaka kimapenzi imekuwa nikero kubwa sana tena sana amekwenda kwa matroni wa hapo kazini kwao kumueleza lakini hakuna msaada wowote ikabidi haende kwa mkuu wa kituo kabisa lakini kinachotokea ni kuteteana mabosi kwa mabosi hakuna hatua zozote zile zinazochukuliwa hinamuuma sana mpaka anakuwa wa kulia tu kutokana kina anakoelekea kuomba msaada hasaidiwi kabisa.

Kwazini uwa wanashift za kazi anajikuta anapangiwa shift kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 8 mchana hakuna kupumzika na by saa 12 anaingia dolia na nikinyume cha sheria za kaz na wenzao hakuna anayeingia shift ya hvyo na huyo police anamwapia kwa kumwambia mpka hatanyooka tu na mpaka atamkubari tu yaani anamfanyia visa sana kilichonokela zaidi ni leo yeye yuko off kuingia kazini mpaka kesho sasa huyo askari kamfuata nyumbani anamwambia haende kazini na wakati huo yeye yuko off na ratiba inaonyesha kesho ndio anaingia kazini na ""anamtambia cha moto utakiona na mpaka utanikubali tu na anamwambia maneno yasiyo kuwa ya msingi mpka kafikia hatua ya kutaka kuchukua maamuzi mabaya ya kujitoa roho kwa manyanyaso ya huyo mkuu wake wa kazi.

Wanajamvi nifanyeje mninashauri analia tu na pia mpka wafanyakazi wenzake wanalalamika kwa anavyofanyiwa mchumba wangu kesha sema mara nyingi kwa kiongozi wake wa juu hakuna mwiitikio wowote ule.
Umeandika maelezo yasiyo sahihi pengine kutokana na kutojua polisi wanafanyeje kazi na hata kwa kuwa umeambiwa kitu kutoka upande mmoja wenye maslahi yako.

Kwanza huyo mpenzi wako anaweza akawa ni tatizo kwa sababu yeye ni askari. Nilitegemea akusanye ushahidi wa kutosha kwanza kuonyesha kama anatongozwa na mkuu wake. Kwa kawaida kuna kipengele fulani katika majeshi ambacho kinakataza maafisa wenye nyota kuwatongoza askari katika mazingira fulani. Lakini iwapo mazingira hayo hayapo, mwanamke yeyote kutongozwa ni kitu cha kawaida.

Kwa ushahidi wa yeye kutongozwa na mazingira yakawa yanaruhusu halafu yeye akakataa, askari huyo angeambatisha ushahidi wa mazingira kuwa ananyanyaswa kwa sababu ya kukataa kuwa mpenzi wa mkubwa wake.

Kwamba amekulalamikia wewe ni sawa kwa sababu wewe ni mpenzi wake lakini ni vyema umshauri akusanye ushahidi sahihi wa nilichokieleza hapo juu kwa sababu tayari hata wewe umeingia katika mtego huo huo wa kupatiliza dhambi bila kuwa na ushahidi wa kutosha.

Kazi za majeshi zina mlolongo wa utendaji kiasi kwamba usipoangalia na hasa kwa jinsia na wasichana wetu wa kisasa wanaopenda kulalamika unaweza kujichanganya na baadaye ukapata hasara. Umewalaumu watu wengi kiasi ambacho kinanipa shida kufikiri kama watu wote hao ni wapuuzi.

Kunyanyaswa kimapenzi kupo lakini kwa mazingira ya teknolojia ya kisasa ni rahisi kupata ushahidi ambao hata kama angetetewa na baba yake mzazi bado kuna siku angemkana. Lakini pia upo ulalamishi wa kizembe unaotolewa na watoto wa kike kwa visingizio vya mapenzi na hasa kunapokuwepo ukiukaji wa taratibu au wakati ambao watu wa shughuli za ulinzi wanapopungua kutokana na majukumu mengine.

Wakati huo, mtu aliyetakiwa kuwa zamu yuko kwingine na hivyo kunafanyika replacement. Bado kuna kazi ngumu kama magwaride na doria. Iwapo mchumba wako ni dot com na pengine anahisia za kunyanyaswa na bosi, hilo pia linaweza kujitokeza.

USHAURI: MWAMBIE HUO MCHUMBA WAKO AKUSANYE USHAHIDI WA KUTOSHA ILI ANAPOPELEKA MALALAMIKO KUWEPO NA LOGIC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dawa yake kumshikisha takukuru. Ni PM nikuungqnishe na maboss wa takukuru sasa hv
 
Back
Top Bottom