nikubhilikile uje
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 264
- 243
Habari za usiku wanandugu wenzangu.
Nirejee kwenye head line mimi namchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mungu akijalia mwezi wa 12 tunafunga pingu za maisha kiukwel tumetoka mbali ni zaidi ya miaka 10 tukiwa o' level mapaka sasa tuko kwenye mahusiano yeye yuko mkoa mwingini ndipo sehemu yake ya kazi na mimi niko dar ndipo ninapofanyia kazi tumeishi kwa amani sana na furaha kwa kila mtu kuchukulia madhahifu ya mwenzake kama sehemu ya mahusiano yetu.
Huyu mchumba wangu ni askari police kanieleza Mara kwa Mara manyanyaso anayoyapata katika sehemu yake ya kazi kuna mkuu wake wa kazi mmoja anamtaka kimapenzi imekuwa nikero kubwa sana tena sana amekwenda kwa matroni wa hapo kazini kwao kumueleza lakini hakuna msaada wowote ikabidi haende kwa mkuu wa kituo kabisa lakini kinachotokea ni kuteteana mabosi kwa mabosi hakuna hatua zozote zile zinazochukuliwa hinamuuma sana mpaka anakuwa wa kulia tu kutokana kina anakoelekea kuomba msaada hasaidiwi kabisa.
Kwazini uwa wanashift za kazi anajikuta anapangiwa shift kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 8 mchana hakuna kupumzika na by saa 12 anaingia dolia na nikinyume cha sheria za kaz na wenzao hakuna anayeingia shift ya hvyo na huyo police anamwapia kwa kumwambia mpka hatanyooka tu na mpaka atamkubari tu yaani anamfanyia visa sana kilichonokela zaidi ni leo yeye yuko off kuingia kazini mpaka kesho sasa huyo askari kamfuata nyumbani anamwambia haende kazini na wakati huo yeye yuko off na ratiba inaonyesha kesho ndio anaingia kazini na ""anamtambia cha moto utakiona na mpaka utanikubali tu na anamwambia maneno yasiyo kuwa ya msingi mpka kafikia hatua ya kutaka kuchukua maamuzi mabaya ya kujitoa roho kwa manyanyaso ya huyo mkuu wake wa kazi.
Wanajamvi nifanyeje mninashauri analia tu na pia mpka wafanyakazi wenzake wanalalamika kwa anavyofanyiwa mchumba wangu kesha sema mara nyingi kwa kiongozi wake wa juu hakuna mwiitikio wowote ule.
Nirejee kwenye head line mimi namchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mungu akijalia mwezi wa 12 tunafunga pingu za maisha kiukwel tumetoka mbali ni zaidi ya miaka 10 tukiwa o' level mapaka sasa tuko kwenye mahusiano yeye yuko mkoa mwingini ndipo sehemu yake ya kazi na mimi niko dar ndipo ninapofanyia kazi tumeishi kwa amani sana na furaha kwa kila mtu kuchukulia madhahifu ya mwenzake kama sehemu ya mahusiano yetu.
Huyu mchumba wangu ni askari police kanieleza Mara kwa Mara manyanyaso anayoyapata katika sehemu yake ya kazi kuna mkuu wake wa kazi mmoja anamtaka kimapenzi imekuwa nikero kubwa sana tena sana amekwenda kwa matroni wa hapo kazini kwao kumueleza lakini hakuna msaada wowote ikabidi haende kwa mkuu wa kituo kabisa lakini kinachotokea ni kuteteana mabosi kwa mabosi hakuna hatua zozote zile zinazochukuliwa hinamuuma sana mpaka anakuwa wa kulia tu kutokana kina anakoelekea kuomba msaada hasaidiwi kabisa.
Kwazini uwa wanashift za kazi anajikuta anapangiwa shift kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 8 mchana hakuna kupumzika na by saa 12 anaingia dolia na nikinyume cha sheria za kaz na wenzao hakuna anayeingia shift ya hvyo na huyo police anamwapia kwa kumwambia mpka hatanyooka tu na mpaka atamkubari tu yaani anamfanyia visa sana kilichonokela zaidi ni leo yeye yuko off kuingia kazini mpaka kesho sasa huyo askari kamfuata nyumbani anamwambia haende kazini na wakati huo yeye yuko off na ratiba inaonyesha kesho ndio anaingia kazini na ""anamtambia cha moto utakiona na mpaka utanikubali tu na anamwambia maneno yasiyo kuwa ya msingi mpka kafikia hatua ya kutaka kuchukua maamuzi mabaya ya kujitoa roho kwa manyanyaso ya huyo mkuu wake wa kazi.
Wanajamvi nifanyeje mninashauri analia tu na pia mpka wafanyakazi wenzake wanalalamika kwa anavyofanyiwa mchumba wangu kesha sema mara nyingi kwa kiongozi wake wa juu hakuna mwiitikio wowote ule.