Kwa sasa niko Mwanza natafuta kioo original cha Simu ya NOKIA N82.Pls mnisaidie.
Sh.ngapi? Nawe unapatikana Wapi?
Kwa sasa niko Mwanza natafuta kioo original cha Simu ya NOKIA N82.Pls mnisaidie.
Naona jamaa wanakuzingua tu,hawajui Mwanza jiji kilakitu kinapatikana? Halaf kama mtu hana msaada si akae kimya? Ndg yangu ngoja mi nikusaidie! Nenda pale pambaroad kwenye kile kibarabara cha sokoni ambapo siku hizi jioni napo ni soko, upande wa kulia kuna maduka mengi tu. Upande huo unaona lile ghorofa la njano la Vickfish ambalo liko Nyerere road. Sasa wewe ukiwa kwenye hicho kibarabara cha wauza samaki ingia kulia ita tageti ufikie hilo jengo la vicfish la njano.Lengo kuu nakuelekeza uende kwenye duka la Sam's phone clinic. Kama utafika maeneo hayo bado hujaliona duka,basi ulizia mtu yeyote atakuelekeza au hasa uliza fundi simu yoyote atakuonesha. Ukifanikiwa au ukishindwa naomba unijulishe crap
Kioo cha simu kinapatikana jf!
Naona jamaa wanakuzingua tu,hawajui Mwanza jiji kilakitu kinapatikana? Halaf kama mtu hana msaada si akae kimya? Ndg yangu ngoja mi nikusaidie! Nenda pale pambaroad kwenye kile kibarabara cha sokoni ambapo siku hizi jioni napo ni soko, upande wa kulia kuna maduka mengi tu. Upande huo unaona lile ghorofa la njano la Vickfish ambalo liko Nyerere road. Sasa wewe ukiwa kwenye hicho kibarabara cha wauza samaki ingia kulia ita tageti ufikie hilo jengo la vicfish la njano.Lengo kuu nakuelekeza uende kwenye duka la Sam's phone clinic. Kama utafika maeneo hayo bado hujaliona duka,basi ulizia mtu yeyote atakuelekeza au hasa uliza fundi simu yoyote atakuonesha. Ukifanikiwa au ukishindwa naomba unijulishe.
Naona jamaa wanakuzingua tu,hawajui Mwanza jiji kilakitu kinapatikana? Halaf kama mtu hana msaada si akae kimya? Ndg yangu ngoja mi nikusaidie! Nenda pale pambaroad kwenye kile kibarabara cha sokoni ambapo siku hizi jioni napo ni soko, upande wa kulia kuna maduka mengi tu. Upande huo unaona lile ghorofa la njano la Vickfish ambalo liko Nyerere road. Sasa wewe ukiwa kwenye hicho kibarabara cha wauza samaki ingia kulia ita tageti ufikie hilo jengo la vicfish la njano.Lengo kuu nakuelekeza uende kwenye duka la Sam's phone clinic. Kama utafika maeneo hayo bado hujaliona duka,basi ulizia mtu yeyote atakuelekeza au hasa uliza fundi simu yoyote atakuonesha. Ukifanikiwa au ukishindwa naomba unijulishe crap
We Nyangi! Unacopy halaf unaedit! Kwel we hamnazo! Akili yako haiwezi kufikiri?