Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,121
27,128
Jumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha akaniuliza kama nitakuwa na nafasi jumapili ya wiki hiyo around saa saba mchana. I told her what is the problem? akaniambia kuna meeting muhimu sana ambayo angependa kuona na mimi nikishiriki. Nikamwambia hakuna shida. Siku hiyo akaniomba tukutane maeneo ya mwenge, nikamdrive hadi pale ITV kwenye ukumbi wa mikutano wa GNLD. She told me it was a GNLD meeting. She is a member, she has invited me to listen to what they are doing and may be if interested nijiunge nao pia. Nilitaka kurudi hapo hapo but nikasema ngoja niende kuwasikia wana kitu gani kipya ambacho sijawahi kukisikia mahali., ( I knew about this cra.p ) since 2001 and i know what they are actually doing ).

WAKATI WA KUTOA USHUHUDA

Baada ya introduction na kabobo kutoka kwa aliyekuwa msemaji mkuu wa hiyo meeting, ikafikia zamu ya watu mbalimbali ambao ni memba wa GNLD kutoa shuhuda zao. Huyo msichana alikuwa miongoni mwa walio toa ushuhuda.

I WAS SO SO DISAPOINTED WITH THEM.

She said, nimejiunga GNLD tangu mwaka 2009 and blah blah, Now ninaingiza PESA NYINGI SANA KWA MWEZI!
Ninaingiza shilingi LAKI SITA KWA MWEZI! ( Hivi kweli Graduate wa Chuo Kikuu anaweza kuwa na mawazo mgando kiasi hiki! Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie.

Others were talking like, NIMEFIKA HADI NAIROBI MIMI! HUWEZI KUAMINI! UKINIONA UNANICHUKULIA POA, ILA NIMEFIKA HADI NAIROBI KWA KAZI HII HII?

( Seriously kweli! kufika Nairobi nalo ni jambo la kujisifu mbele ya kadamnasi ! )

Wengi wao wanaongea kuhusu laki nne kwa mwezi na utoto utoto kama huo..

BRAINWASHERS
: Wakati wa shuhuda kuna jamaa huwa wanasimama na kuongea utoto mwingi like u know nilikuwa meneja wa T.R.A mkoa but nimeacha baada ya kuona GNLD inanilipa.. Mwingine akasema " Nilikuwa muhasibu BARICK, nalipwa MILIONI NNE kwa mwezi, ila nimeacha kazi baada ya kuona GNLD ndio mpango. Plus utoto utoto mwingine kama huo..

Mwisho wa siku i told her, please be serious even for a second, how dare you bring me to a place like this. What do u take me for? or what kind of a fool do u think i am? do u confuse me with a looser or something ? Do i look like someone who is joking about his life? U shall not tell me about this cra.p again...

Kiukweli niliona amenidhalilisha sana, i say..

These people, are realy dont know what is going on in their lives na wanahitaji kukombolewa. Kuwa describe hawa watu wa GNLD na FOREVER LIVING PRODUCTS in a single word, they are " LOOSERS".

attachment.php
 
Ukiingia kwenye maeneo ya kumi na nane wana uwezo mkubwa wa kurubuni c mchezo

Wakati nipo chuo kuna rafiki yangu mmoja mjasiriamali (mangi ) baada ya kupokea bumu lake, akapeleka Forever Living Products laki sita yote. Kilicho mtokea kinasikitisha, ilibidi hizo dawa aanze kuzitumia mwenyewe kwa kuzinywa.. Semester ilikuwa ngumu sana kwake, ashukuru Mungu alikuwa anasoma BAGEN ila vinginevyo angeliwa kichwa..sasa hivi hataki kabisa kusikia kitu chochote kile kinachoitwa FLP au GNLD
 
Yaani kwa hesabu za harakaharaka "graduate awe anaingiza 18,000,000 tsh kwa mwezi....kwa mwaka it's about 216,000,000 tshs....how many graduates wanaingiza hizo pesa.!!!kweli limbukeni grow up! Learn to appreciate n encourage other people's efforts...hata Kama huoni ni muhimu kwako kwao ni muhimu...
 
Niliwah fatwa na my x-skulmate akanialika ubungo plaza,jamaa walikua wanatoa ushuhuda lakini sikuwa interested
 
Back
Top Bottom