Hiv kwanini inakuwaga ngumu kwa msichana kutongoza mwanaume! Ni desturi iliyojiweka kwamba mwanaume Tu ndo aanze kwani huwa mnatufikiliaje nyie wanaume mkifatwa na njisia ya kike
Haaaaaahaaa nipo kihora
We upo kijiji gani?wenzio huku mjini wadada,wanatutongoza kila siku
Hiv kwanini inakuwaga ngumu kwa msichana kutongoza mwanaume! Ni desturi iliyojiweka kwamba mwanaume Tu ndo aanze kwani huwa mnatufikiliaje nyie wanaume mkifatwa na njisia ya kike
Mi sitongozi mtu asilaniiii! Labda nimtege tu! Ukimtongoza mwanaume kama hakutaki atakukubali akugeuze uwanja wa mazoezi, na kukufanya ATM kila siku ana kukopa coz anajua hata ukimwacha haina ishu! Sifugi binadamu kamwee labda mi ndo nigugwe tu not vice versa!
Mi nilikuwa na mpanho si wa kukutongoza but wa kukuaproach kiutu uzima tu! JE UTANIONAJE.?huyo hajui kama hadi mahali wanajilipia wenyewe kwenye familia zao bila wazazi kujuwa.
Mi sitongozi mtu asilaniiii! Labda nimtege tu! Ukimtongoza mwanaume kama hakutaki atakukubali akugeuze uwanja wa mazoezi, na kukufanya ATM kila siku ana kukopa coz anajua hata ukimwacha haina ishu! Sifugi binadamu kamwee labda mi ndo nigugwe tu not vice versa!
OFCOURSE! Unauliza ndevu kwa Osama? Si unajua siendekezi FREE P so lazima mtu ajipange! Sio cha wote au mama huruma! Na mtongozo lazima uwe umetulia!Naww huwa wanakutongoza?
OFCOURSE! Unauliza ndevu kwa Osama? Si unajua siendekezi FREE P so lazima mtu ajipange! Sio cha wote au mama huruma! Na mtongozo lazima uwe umetulia!
Mi nilikuwa na mpanho si wa kukutongoza but wa kukuaproach kiutu uzima tu! JE UTANIONAJE.?
huyo hajui kama hadi mahali wanajilipia wenyewe kwenye familia zao bila wazazi kujuwa.
mnhhh interestingMi nilikuwa na mpanho si wa kukutongoza but wa kukuaproach kiutu uzima tu! JE UTANIONAJE.?
......................... na mtongozo lazima uwe umetulia!
huyo hajui kama hadi mahali wanajilipia wenyewe kwenye familia zao bila wazazi kujuwa.