Jana jamaa yangu yamemkuta hana amani ya moyoni, pana mke wa mtu mumewe wake anafanya Kazi mkoani anasema alikuwa anapitia, mke akanasa mimba mtoto kazaliwa mke wa mtu kamwambia jamaa huyu ni mtoto wako na wanafanana, mama yake mzazi na binti nae anajua mtoto sio wa mkwe wake bali ni mtoto wa nje baada ya kuambiwa na binti yake. Baba mzazi wa binti ajui ishu hii.
Jamaa kapigiwa simu jana na mke wa mtu kwamba mambo yamesharibika huku Mr ameshajua na alishawahi daka message yake na keshapigwa chini yaani kaachika akiwa kwenye hali ya uzazi. Jamaa yangu hana amani
1. Anasema hatia ya kuvunja ndoa takatifu ya mtu ataitubuje.
2. Mke wa mtu aliyeachwa kwa upumbavu wake anataka matumizi na yeye kipato kujigawa hawezi.Hofu uenda taarifa zikafika kwa mke wake zikifika nae ndoa uenda ikawa chali.
Jamaa hana amani hana furaha, hata Mimi nimejisikia vibaya sana.Na Mimi nawaza kuvunja nae urafiki kabisa.
Swali hadi mnazaa na wake za watu je hao malaya wanaoujiuza huwa hamuwaoni? Hadi mnaenda kutenganisha furaha za watu.
Kumbuka mke wa mtu aliyeachwa ana mtoto wa kwanza ambae nae anaenda kukosa upendo wa pamoja wa baba na mama.
Na nyinyi wanawake umepewa heshima ya ndoa kwann usikitulize nini kipya unachotafuta?
Acheni kubomoa familia za watu.
Maandiko yanasema " ndoa iheshimiwe na watu wote"
Midume mingine ya hovyo kabisa inaenda hadi kulala kwenye kitanda nyumbani Mwa mwanaume mwingine, walipasuliwa speaker ni haki yao kabisa.
uzuri MUNGU huwa afichi siri.
Dunia Ina mambo unaleta duniani watoto wasio na hatia. Majuto mjukuu, thus wamejaa makanisani. Dhambi hii ya kutenganisha kilichounganishwa haifutiki ni SAwa na kumwaga damu ya mtu.
Jamaa kapigiwa simu jana na mke wa mtu kwamba mambo yamesharibika huku Mr ameshajua na alishawahi daka message yake na keshapigwa chini yaani kaachika akiwa kwenye hali ya uzazi. Jamaa yangu hana amani
1. Anasema hatia ya kuvunja ndoa takatifu ya mtu ataitubuje.
2. Mke wa mtu aliyeachwa kwa upumbavu wake anataka matumizi na yeye kipato kujigawa hawezi.Hofu uenda taarifa zikafika kwa mke wake zikifika nae ndoa uenda ikawa chali.
Jamaa hana amani hana furaha, hata Mimi nimejisikia vibaya sana.Na Mimi nawaza kuvunja nae urafiki kabisa.
Swali hadi mnazaa na wake za watu je hao malaya wanaoujiuza huwa hamuwaoni? Hadi mnaenda kutenganisha furaha za watu.
Kumbuka mke wa mtu aliyeachwa ana mtoto wa kwanza ambae nae anaenda kukosa upendo wa pamoja wa baba na mama.
Na nyinyi wanawake umepewa heshima ya ndoa kwann usikitulize nini kipya unachotafuta?
Acheni kubomoa familia za watu.
Maandiko yanasema " ndoa iheshimiwe na watu wote"
Midume mingine ya hovyo kabisa inaenda hadi kulala kwenye kitanda nyumbani Mwa mwanaume mwingine, walipasuliwa speaker ni haki yao kabisa.
uzuri MUNGU huwa afichi siri.
Dunia Ina mambo unaleta duniani watoto wasio na hatia. Majuto mjukuu, thus wamejaa makanisani. Dhambi hii ya kutenganisha kilichounganishwa haifutiki ni SAwa na kumwaga damu ya mtu.