CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Jana nimesikia Dr. Jakaya Kikwete anahubiri kuwa Mtwara utakuwa mji wa viwanda kwa ajili ya gesi. Mtapata ajira na neema itawashukia. Msiwe wajinga, maana watanzania ni tu wajinga, ujinga wetu unatumiwa na wana siasa kisiasa.
Mjiulize kwanza: Kule kwenye Dhahabu Buhemba, Nyamongo kukoje, ni jahanamu, Merereni kukoje ni jahamanu, kwenye mbuga za wanyama kukoje, ni jahanamu. You will not be an exception!!! Jahanamu inawasubiri. Mtahamishwa bila fidia, mtadhulumiwa . Hakuna cha ajira!!!
Kote Africa kwenye gesi, mafuta ni jahanamu-Nigeria ikoje!!! Bhoko Haram ni akina nai!!! Just wait and see!!!!! Historia inatwambia hivyo, na wala huu si uchochezi, ni sheria ya historia ya madini Tanzania. Mafuta na gesi itakuwa hivyo.
Mjiulize kwanza: Kule kwenye Dhahabu Buhemba, Nyamongo kukoje, ni jahanamu, Merereni kukoje ni jahamanu, kwenye mbuga za wanyama kukoje, ni jahanamu. You will not be an exception!!! Jahanamu inawasubiri. Mtahamishwa bila fidia, mtadhulumiwa . Hakuna cha ajira!!!
Kote Africa kwenye gesi, mafuta ni jahanamu-Nigeria ikoje!!! Bhoko Haram ni akina nai!!! Just wait and see!!!!! Historia inatwambia hivyo, na wala huu si uchochezi, ni sheria ya historia ya madini Tanzania. Mafuta na gesi itakuwa hivyo.