Mnaotaka kutoboa nchi ni Canada, mtanishukuru

Mnaotaka kutoboa nchi ni Canada, mtanishukuru

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,766
Reaction score
14,785
Wahindi unawaona hapa Tanzania wengi plan zao ni kwenda kuishi Canada.

Nilijalibu kufatilia nikagundua Canada bado nchi yenye fursa ukilinganisha na USA ambayo ina wimbi kubwa la kila mtu kuishi, kusoma, kufanya kazi na n.k.

Maisha ya Canada yapo tofauti na USA kiutafutaji kama ukituliza akili na kutoboa ni fasta sana.

USA ni kugumu yani unaweza pata kipato kikubwa ila ukaishia kupanga na kubadilisha simu kali.

Kwa nini na zungumzia hivo,canada bado kuna kamakazi nafuu ukilinganisha USA.

Sijajua kwa sasa taratibu zake ila watu waishio huko nikiwalinganisha na waliopo USA naona USA wanaogopa sana kutukaribisha kuliko waliopo Canada.
 
Katafuteni maisha ughaibuni, Ila watu wa ughaibuni Wanakuja kwetu kusaka utajiri 😂😂

1675525687460.jpg
 
Katafuteni maisha ughaibuni, Ila watu wa ughaibuni Wanakuja kwetu kusaka utajiri 😂😂View attachment 2507731
Wao huko kwao wanajua wameshapata maisha ya kula na kulala na kujiuguza bila tabu kwa miaka kadhaa,wanahamia Afrika kutengeneza utajiri sasa wa vizazi vyao na wao wenyewe. Ilihali sisi huku Afrika milo mitatu tu na makazi ni issue.
 
Mbona watu hawaongelei kutafuta maisha Russia, China, Iraq, Iran, Palestina, Afghanistan, Somalia, Dubai, Saudia Arabia, Misri, Libya na Uturuki?
Maisha mazuri yapo Canada, Uingereza, Austraria, USA na Canada tu?

Nchi zote ulizotaja wote wanalilia kwenda kutafuta maisha mazuri ulipotaja.
 
Wahindi unawaona hapa TZ wengi plan zao ni kwenda kuishi canada.

Nilijalibu kufatilia nikagundua canada bado nchi yenye fursa ukilinganisha na USA ambayo ina wimbi kubwa la kila mtu kuishi, kusoma, kufanya kazi na n.k....

Mkuu mbona kuna wimbi kubwa la watu wanatoroka kanada na kuingia Marekani kinyemela. Yani idadi imezidi.
Now they're coming from CANADA: Northern border sees 743% spike in migrants trying to cross into US | Daily Mail Online.

 
Mnaoenda huko muwe makini sana, binafsi nilienda abroad kupitia rafiki yangu anayeishi huko katika utafutaji nikajikuta on the wrong side of the law

Aisee acheni jamani, imagine unafungwa sehemu ambayo huna hata ndungu wa kukujulia Hali hata kwa simu!! Japo ilikua muda mfupi ila acheni tu! Najivunia sana kurudi bongo!

Ukienda kutafta Kule live a clean life japokua jela hapana mwenyewe inaweza kutokea bahati mbaya
 
Mnaoenda huko muwe makini sana, binafsi nilienda abroad kupitia rafiki yangu anayeishi huko katika utafutaji nikajikuta on the wrong side of the law...

Jela hata Tanzania unaenda, tena kwa kubambikiwa kesi. USA/EU/GB/Australia kubambikiwa kesi siyo rahisi. Ila USA/EU/Canada etc. kufungwa ni rahisi kuliko Tanzania.

Makosa madogo ambayo police anaweza kumezea akipewa kahawa huku lazima ufike mbele ya hakimu.
 
Jela hata Tanzania unaenda, tena kwa kubambikiwa kesi. USA/EU/GB/Australia kubambikiwa kesi siyo rahisi. Ila USA/EU/Canada etc. kufungwa ni rahisi kuliko Tanzania. Makosa madogo ambayo police anaweza kumezea akipewa kahawa huku lazima ufike mbele ya hakimu.
Sahihi, kwa Tanzania rushwa imeokoa wengi kufikishwa mbele ya mkono wa sheria
 
Mkuu mbona kuna wimbi kubwa la watu wanatoroka kanada na kuingia Marekani kinyemela. Yani idadi imezidi.
Now they're coming from CANADA: Northern border sees 743% spike in migrants trying to cross into US | Daily Mail Online.


Ni kweli ila jaribu kupitia documentary za USA ndio utaelewa kule USA kumejaa kiufupi.
 
Back
Top Bottom