kikubwa lindeni damu zenu jeshi ni damu kama unadamu chafu itakula kwenye jifanyeni mnayajua mapenzi mtarudi mahome kwenu nyama mbavu wazalendo wazi intake hii lazima mtu akojoe damu na kutapika nyongo njoeni na mapuza ya uraiani ndoo mtajua hili ndoo jeshi siyo shirika la mkonge