Wenzenu Wazanzibar waliokua wamewasili kwenye vikosi walivyopangiwa wamepewa nauli na kuanza safari ya kurudi mgulani wanapokutania kisha kurudi zanzibar,sasa kwa anaesubiri ajiandae kuingia mwezi wa 8 mwshon au wa 9, na kama tpdf watakua bado hawajaanza cozi basi mtaingia wa 10