IfNot WhyNot
Senior Member
- Aug 21, 2013
- 147
- 265
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!
Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu ( ids) kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni .
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa ?
Nawasilisha
Get to know siku hizi watu wengi kazi zao zinahitaji muda mwingi kuwa online…kuna wafanyabiashara, kuna watu wanaandika/wanatuma/kupokea report 24/7 kuna wanaosoma pia office nyingi zimerahisisha kuwa na wi-fi so mtu akifika ofisini anakuwa online siku nzima…
Hiyo inapelekea interactions kuongezeka from social media to news sites to educational sites ndo maana inakuwa rahisi mtu kuwa online kila muda
hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu

GENTAMYCINE