Mnaoshangilia tambueni CAG hajamtuhumu Rais aliyepita amefumbua macho kwake na kwa Rais mpya

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Ukaguzi wa mwaka 2019/2020 haujafanyika baada ya Mhe. Rais kufariki, ulifanyika akiwa hai na nakala ya vipande vya taarifa hii tayari vilishafika ofisini sema ni tqrehe tu yakuikabidhi ilikuwa haijafika.

Wanaotaka kutuaminisha kwamba taarifa hii imeanza kuondoa legacy ya JPM wanataka kutupotosha kwa sababu wanaelewa fika kwamba aliyeandaa na kulipa hao wakaguzi si Mhe.Samia suluhu Bali aliwalipa JPM akiwa madarakani.

Hasara ya 60 Bilioni si kitu chakushangaza kwa mwaka jana kwa sababu nusu ya mwaka 2019/2020 biashara ziligoma kutokana na kuibuka kwa corona, mashirika mengi yalisitisha safari.

Kuhusu bandari tayari Waziri mkuu alishaona tatizo na tatizo aliliona baada ya taarifa za ukaguzi alizopenyezewe kuonyesha pana tatizo. Kwa ujumla haya yote yametokana na kibali Cha Rais aliyepita hivyo tunaposema kaumbuka au legacy inapotea tunakosea si kwa kutokujua bali kwakujua.
 
Ushawahi kusikia financial statement ya ATCL ya robo mwaka , nusu mwaka tokea ndege mpya zinunuliwe
 
Ukaguzi wa mwaka 2019/2020 haujafanyika baada ya Mhe. Rais kufariki, ulifanyika akiwa hai na nakala ya vipande vya taarifa hii tayari vilishafika ofisini sema ni tqrehe tu yakuikabidhi ilikuwa haijafika.

Wanaotaka kutuaminisha kwamba taarifa hii imeanza kuondoa legacy ya JPM wanataka kutupotosha kwa sababu wanaelewa fika kwamba aliyeandaa na kulipa hao wakaguzi si Mhe.Samia suluhu Bali aliwalipa JPM akiwa madarakani.

Hasara ya 60 Bilioni si kitu chakushangaza kwa mwaka jana kwa sababu nusu ya mwaka 2019/2020 biashara ziligoma kutokana na kuibuka kwa corona, mashirika mengi yalisitisha safari.

Kuhusu bandari tayari Waziri mkuu alishaona tatizo na tatizo aliliona baada ya taarifa za ukaguzi alizopenyezewe kuonyesha pana tatizo. Kwa ujumla haya yote yametokana na kibali Cha Rais aliyepita hivyo tunaposema kaumbuka au legacy inapotea tunakosea si kwakutokujua Bali kwakujua.
Hasara miaka mitano mfululizo lakini tukimnukuu marehemu bin hayati Atcl ilikuwa faida tupu
IMG_20210328_125557.jpg
IMG_20210328_125908.jpg
 
Hahahaha CAG ripoti ya mwaka mmoja ila kwenye ndege kaongelea mambo ya miaka mitano.

Mama hajui hata kuchezesha picha.
 
Mataga wameanza kujikanyaga kanyaga, kila kukicha wapinzani walilalama ndege zinaendeshwa kwa hasara, ukisema unaambiwa unapinga maendeleo, tena JIWE alijigamba ameagiza ndege zingine 2, Hell! Kweli Muda Umeongea.
Na bado tutaskia mengi. CAG aje na taarifa za ujenzi wa uwanja wa CHATO wa ndege
 
Kulikuwa na haja gani kuwekeza kwenye shirika ambalo halina faida for 5 year!!....,Lawama hatakwepa huko alikoelekea
Umeambiwa Shirika limejiendesha kihasara kwa miaka 5.

Sijui umeielewa hiyo Kauli?

Mataga mmeanza kupindisha.

Ila kiukweli Enzi Jiwe tumelishwa Matangopori sana.

Jamaa limeanza kuumbuka.
 
Labda hatukumuelewa CDF, ... lakini, inavyoelekea, kazi hii ya leo ilikuwa kwenye 'PIPELINE' ya Jiwe na alipoona afya inamuangusha akatoa maagizo haraka kwa CDF kwenda kwa makamo wake!
RIP mtani wangu JIWE!
MAENDELEO HAYANA VYAMA!
👊😅✌️💥
 
Mimi nilichoelewa, ni kwa miaka mitano mfululizo mapangaboi ni hasara tupu......
 
Ukaguzi wa mwaka 2019/2020 haujafanyika baada ya Mhe. Rais kufariki, ulifanyika akiwa hai na nakala ya vipande vya taarifa hii tayari vilishafika ofisini sema ni tqrehe tu yakuikabidhi ilikuwa haijafika.

Wanaotaka kutuaminisha kwamba taarifa hii imeanza kuondoa legacy ya JPM wanataka kutupotosha kwa sababu wanaelewa fika kwamba aliyeandaa na kulipa hao wakaguzi si Mhe.Samia suluhu Bali aliwalipa JPM akiwa madarakani.

Hasara ya 60 Bilioni si kitu chakushangaza kwa mwaka jana kwa sababu nusu ya mwaka 2019/2020 biashara ziligoma kutokana na kuibuka kwa corona, mashirika mengi yalisitisha safari.

Kuhusu bandari tayari Waziri mkuu alishaona tatizo na tatizo aliliona baada ya taarifa za ukaguzi alizopenyezewe kuonyesha pana tatizo. Kwa ujumla haya yote yametokana na kibali Cha Rais aliyepita hivyo tunaposema kaumbuka au legacy inapotea tunakosea si kwakutokujua Bali kwakujua.
Ulichokiandika ni vile unavyofikiri kwa sababu you are not part of that system. Uafikiria scenario unayoona itakuridhsha

Kamugisha, it is as simple as that!
If A=B and B=C; automatically, A=C
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom