Mnaopost wapenzi wenu hii inawahusu

Mnaopost wapenzi wenu hii inawahusu

Macbook pro

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2020
Posts
752
Reaction score
1,105
Habarini za asubuhi 5 am Club members na Wengine ?

Nimeamka asubuhi hii nikawa na natizama status kidg kabla sijaenda mezani kufanya kazi zangu binafsi kabla ya muda wa kwenda kutimika utumwani (Utumishi).

Nimekutana na post ya mshikaji mmoja amepost picha ya Mwanamke ambaye ni mke wake kwa mujibu wa maelezo yake pale chini akisema

"Nimekumiss sana Mke wangu...I can't wait to see you again " na Sio huyu tu, Mwingine tena wiki mbili zimepita alimpost mkewe na yeye mwenyewe akimwambia "Nimekumiss sana mama watoto, Akaweka na makopa kopa"
Na wanaoweka haya mtangazo ya hivi wengi ni wanaume!

Hivi washikaji zangu, huwa mnataka sisi viewers tujibu au tufanye nini kama wewe ndio umemmiss mkeo si Umwambie huko inbox kwenu. Kwani sisi wote tunao view status yako ni wake zako ??

Na kwa nini hii trend inakua kubwa kwa wanaume ?? Sijaona post ya mdada akisema nimekumiss mme wangu zaidi utaona video zao wakibinua viuno na kutuonyesha Ma*ko na kuchezesha kope bandia huku wameweka Filter. Au kuna jambo ambalo mimi silijui ?? Have the men community turned into simps ??

Huu ni Ushamba sana !! Kama unampenda mkeo si unwambie privately? Basi kama kama unataka kuthibitisha si umeamua kuthibitishia kuwa unampenda huyo Mwanamke wako uju uweke pia video ukiwa unamshughulikia.... !! Nilijua hizi ishu za kujikosha mtandaoni ni za wanawake sasa wanaume tumeanza kufuata.
 
Habarini za asubuhi 5 am Club members na Wengine ?

Nimeamka asubuhi hii nikawa na natizama status kidg kabla sijaenda mezani kufanya kazi zangu binafsi kabla ya muda wa kwenda kutimika utumwani (Utumishi).

Nimekutana na post ya mshikaji mmoja amepost picha ya Mwanamke ambaye ni mke wake kwa mujibu wa maelezo yake pale chini akisema

"Nimekumiss sana Mke wangu...I can't wait to see you again " na Sio huyu tu, Mwingine tena wiki mbili zimepita alimpost mkewe na yeye mwenyewe akimwambia "Nimekumiss sana mama watoto, Akaweka na makopa kopa"
Na wanaoweka haya mtangazo ya hivi wengi ni wanaume!

Hivi washikaji zangu, huwa mnataka sisi viewers tujibu au tufanye nini kama wewe ndio umemmiss mkeo si Umwambie huko inbox kwenu. Kwani sisi wote tunao view status yako ni wake zako ??

Na kwa nini hii trend inakua kubwa kwa wanaume ?? Sijaona post ya mdada akisema nimekumiss mme wangu zaidi utaona video zao wakibinua viuno na kutuonyesha Ma*ko na kuchezesha kope bandia huku wameweka Filter. Au kuna jambo ambalo mimi silijui ?? Have the men community turned into simps ??

Huu ni Ushamba sana !! Kama unampenda mkeo si unwambie privately? Basi kama kama unataka kuthibitisha si umeamua kuthibitishia kuwa unampenda huyo Mwanamke wako uju uweke pia video ukiwa unamshughulikia.... !! Nilijua hizi ishu za kujikosha mtandaoni ni za wanawake sasa wanaume tumeanza kufuata.
Inategemeana na umeichukuliaje kama umeisoma ama kuichekulia kwa jicho la husda na wivu basi lazima utaona mtu kupost usingz wake ni ushamba
 
Habarini za asubuhi 5 am Club members na Wengine ?

Nimeamka asubuhi hii nikawa na natizama status kidg kabla sijaenda mezani kufanya kazi zangu binafsi kabla ya muda wa kwenda kutimika utumwani (Utumishi).

Nimekutana na post ya mshikaji mmoja amepost picha ya Mwanamke ambaye ni mke wake kwa mujibu wa maelezo yake pale chini akisema

"Nimekumiss sana Mke wangu...I can't wait to see you again " na Sio huyu tu, Mwingine tena wiki mbili zimepita alimpost mkewe na yeye mwenyewe akimwambia "Nimekumiss sana mama watoto, Akaweka na makopa kopa"
Na wanaoweka haya mtangazo ya hivi wengi ni wanaume!

Hivi washikaji zangu, huwa mnataka sisi viewers tujibu au tufanye nini kama wewe ndio umemmiss mkeo si Umwambie huko inbox kwenu. Kwani sisi wote tunao view status yako ni wake zako ??

Na kwa nini hii trend inakua kubwa kwa wanaume ?? Sijaona post ya mdada akisema nimekumiss mme wangu zaidi utaona video zao wakibinua viuno na kutuonyesha Ma*ko na kuchezesha kope bandia huku wameweka Filter. Au kuna jambo ambalo mimi silijui ?? Have the men community turned into simps ??

Huu ni Ushamba sana !! Kama unampenda mkeo si unwambie privately? Basi kama kama unataka kuthibitisha si umeamua kuthibitishia kuwa unampenda huyo Mwanamke wako uju uweke pia video ukiwa unamshughulikia.... !! Nilijua hizi ishu za kujikosha mtandaoni ni za wanawake sasa wanaume tumeanza kufuata.
Punguza wivu, kwanza unapata wapi muda wa kuangalia status. Inashangaza sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom