Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
Hii point yako hana nguvu..
Hayo magari ya ulaya mengi yakiwa used bei zake ni zile zile tu za wenzake wa categories zake ...
Changamoto huja kwenye spea na mafundi...
Hayo magari ya ulaya mengi yakiwa used bei zake ni zile zile tu za wenzake wa categories zake ...
Changamoto huja kwenye spea na mafundi...
Hapa umetaja sababu kibao hazina mshiko hapa suala ni kwamba watz hamna ela za kununua Gari za Ulaya hata iwe Used.