Mnaomiliki na kutumia Volkswagen 'chuma ya mjerumani' ni gereji zipi mnafanyia service & repair? Popote pale nchini

Sikubaliani na ww kabisaaaaaaaa

Sasa Vanguard zimejaaa nchini kama uchafu useme watu hawana hela za kununua hizo gari??
Watu wengi kwa sasa wana afford gari nyingi za 12M-45M!!!

Sasa jiulize hizo German makes ngapi zinanulika ndani ya hio pesa. Watu hela wanazo ila maamuzi yanabaki kwenye criteria ya maintainance! Wasiojali wananunua vile vile.
 
Tatizo sio pa kupata spare. Spare zipo ila bei zake zikoje? Hilo ndio la msingi na ndicho ambacho kimewakimbizia watu Nagoya na Yokohama 🤣🤣🤣

Kwakweli Nagoya na Yokohama sio rahisi kupakwepa.
 
Watu wengi kwa sasa wana afford gari nyingi za 12M-45M!!!

Sasa jiulize hizo German makes ngapi zinanulika ndani ya hio pesa. Watu hela wanazo ila maamuzi yanabaki kwenye criteria ya maintainance! Wasiojali wananunua vile vile.

Kuna watu bado hawajali ukakasi wa gharama za mjerumani. Wanajilipua naye tu.

Hizi boxi za mjapan ni kwasababu hatuna dough tu mkuu. Tunabakia na hasira tu ila nguvu hatuna.
 
Kuna watu bado hawajali ukakasi wa gharama za mjerumani. Wanajilipua naye tu.

Hizi boxi za mjapan ni kwasababu hatuna dough tu mkuu. Tunabakia na hasira tu ila nguvu hatuna.
Hahahah mie hela ikikaa sawa if im in to German machines, ntaanza na beamer x1 i really fond for that baby 😂😂😂 makes my D firm!
 
Kwa kuzingatia viwango vya safety, stability, comfortability, inaonekana wazi kabisa kuwa watu wengi wanatamani sana kumiliki magari ya Ulaya. Lakini wanaogopa kuyamiliki kwasababu kuu tatu:

- Uhaba wa mafundi/garage for European cars.
- Uhaba wa spea (kupata spea ni shida, sometimes inakulazimu kuagiza spea nje ya nchi!!).
- Spea ni aghali sana (expensiveness)...
Dar nenda CoET, UDSM kuna Maprofesa kibao wenye PhD zao za Mechanical Engineering.
 
Hahahah mie hela ikikaa sawa if im in to German machines, ntaanza na beamer x1 i really fond for that baby 😂😂😂 makes my D firm!
Wengine tukijichanganya gari za Mjerumani vitu vyote itabid visimame (ada za watoto, Kodi za nyumba, SACCOS, ujenzi n.k)
 
Kwa kuzingatia viwango vya safety, stability, comfortability, inaonekana wazi kabisa kuwa watu wengi wanatamani sana kumiliki magari ya Ulaya. Lakini wanaogopa kuyamiliki kwasababu kuu tatu:

- Uhaba wa mafundi/garage for European cars.
- Uhaba wa spea (kupata spea ni shida, sometimes inakulazimu kuagiza spea nje ya nchi!!).
- Spea ni aghali sana (expensiveness)...
Mi ninatumia vw na avensis zote ulaya sijaona shida ya hizo gar tena naona ni gar smart sana very comfitable ba inatulia sana barabarani kweli spare bei ghal lakin si gar za kuharibika sana spare
 
Wale wa Benedectine Fathers?
Najua ukienda Ndanda pamechangamka kama Munich, je hao ndiyo wamiliki wa Mistry Garage pale Mtwara?

Kuna mdau hapo juu natumai atalijibu hili. Yule niliyomquote kwenye hiyo comment yangu uliyoquote wewe.
 
Aaah wapi uoga wako hakuna gar nzur kitumia kama za ulaya gar makin sana na ngumu ukiitunza ukaijali servise haidai spare kama mjapan

Mkuu, tunatishwa sana kuhama from Japan to Germany. Sijuwi wanataka wabaki wao tu wachache road. 😀
 
Garage kuna fundi mmoja yupo picha ya ndege kibaha maarufu current B german jamaa mtaalam saana saana saana wa gar hizo benz vw avensis audio hadi toyota na ana mashine ya kupimia gar zote

Audio ndiyo gari gani mkuu?

Anyway, umesomeka kaka. Current B German at Picha ya Ndege - Kibaha.
 
Back
Top Bottom