Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,213
- 1,638
Nazungumzia tabia za Watanga kuwa wajamaa,- kufanya mambo yao kwa pamoja, pamoja na ukarimu wao. Hayo ya ushirikina si kwa Watanzania wote? Au wengi?Kipi kizuri ushirikina?
Nazungumzia tabia za Watanga kuwa wajamaa,- kufanya mambo yao kwa pamoja, pamoja na ukarimu wao. Hayo ya ushirikina si kwa Watanzania wote? Au wengi?Kipi kizuri ushirikina?
Pole itakuwa hujamchezea vyema..Ubunifu kitandani sio ukabila, mimi nishakutana nao hao hakuna lolote....
Kawaida binadamu hawezi kujijua madhaifu yake hadi wapembeni amkonyeze. Kuna masuala hakugusia kama makelele, maugomvi ila mnapenda sana upande wenu na kuchukia wa mume. Kuhusu mapenzi hili lilibuniwa tu mbona hata wachagga wengine ni viboko 6x6 kuliko nyie. Jiwe liketupwa tunasubiri Shunie naye ajiteteteUtuache na Tanga yetu,umeandika uwongo.
Hizo story za vijiweni, ungejua ukorofi wao!kuna tofauti kati ya UBUNIFU na ulozi
wanawake wa kitanga wamejaa ubunifu
haswa kwenye sekta nzima ya mahaba na mapenzi
iko hivi mtanga anakuogesha,anakutawaza anakubeba mgongoni..full anakurembulia,,chumba full uturi na huko sita kwa sita hubaniwi..
hadi anakulisha.!
hapo kwa nini MTU asisahau huko kwao alipotoka.!
Mkuu huu uzi umenistua kuna binti mmoja alikuwa anakaa na shangazi yake ni wa kabila la tanga yule binti alikuwa mtu wa dini sana nilimtongoza akanikubalia sikumwelewa yule binti mpaka leoUjumbe wangu huu hauwahusu wanaume wa Tanga wanaoa mabinti wa kitanga naamini wao wanaendana kitabia hivyo sio issue kubwa sana kuishi katika ndoa.
Tuje kwetu sisi ambao si wenyeji wa Tanga na tungependa kuolea huko, hapa nakushauri jifikirie kabla hujaamua. Jifikirie Mara mbili kwa sababu kuna vitu ambavyo wewe kama si mwenyeji vitakutesa sana na utajikuta upo kinyume na dhumuni lako.
Kwa kipindi ambacho nimeishi na kuona utamaduni wa watu wa Tanga nimegundua kwamba wanawake wa Tanga wanapenda sana ushirikina wa ndoa huu mnaoita limbwata. Amini usiamini ukioa Tanga mwanamke hata awe PhD bado anathamini waganga kuliko Mungu. Yaani usiombe uwe Tajiri kisha oa mwanamke wa Tanga utajuta. Achana na hii slogan mapenzi yameanzia Tanga hakuna lolote si Mzigua, si mdigo, si Msambaa wala msegeju hao wote ni wamoja. Najua kuna wengine mtabisha ila ubishi wawezekana kwa sababu si mzoefu. Uliza wagogo, wanyamwezi na waha waliokwenda kutafuta maisha kama wamewahi kukumbuka walipotoka.
Kingine ni kwamba jamii za watu wa Tanga wanapenda kuishi kijamaa kupitiliza. Wanapenda kila tukio hata kama ni dogo vipi bhas ukoo wote popote mlipo muje mshiriki asikose hata mmoja. Fikiria kuna kaharusi tu haka kakuweka ubani tu ndoa tayari bhasi hata ukiwa Kigoma wadigo watakuta uje Tanga kwenye hako kaharusi na usipokuja wamefura. Hebu fikiria maisha haya kila Siku uwe kiguu na barabara utaweza?
Katika ujamaa huohuo usishangae nyumbani kwako kukuta una watu hata kumi wamejaa kwako na hawana hata tarehe ya kutoka na wengine wanaweza hata kuoa wakataka na wake zao walete hapohapo kwako na wao hawaoni kama ni tatizo. Ushawahi kusikia msemo wa MDIGO MZIGO? Ukiona umeoa Tanga na nyumbani kwako hawaji kwa wingi ujue labda wamekudharau masikini au una roho ngumu zaidi ya Jiwe.
Hizi ni chache ila yakupasa utafakari sana unapofikiria kuoa binti wa Tanga asilia. Kama una roho mbaya usithubutu. Kama sio mtu wa kupenda masafari achaa kabisa, kama unaogopa ushirikina ndugu epuka mapema kifuatacho ndugu zako watakusikitikia tu na wasijue la kufanya.
Nachokipenda kwa watoto wa kitanga kumuolea mke mwenzie kwao sio ishu hawana tabuTanga Rahsa sana. Napenda sana Safari za kikazi za Tanga. Per diem huwa hairud Nyumbani
Tena huwa wanakuambia wenyewe wakiwa na nyege yaan hawan tabu kabisaPamoja na yote hayo bado nawapenda sana hawa / Mahaba ndio ugonjwa wangu,akikupa hakubanii hukupa yoote mpaka basi,pia hawana zile sijui nimechoka za kijingajinga wao ni hapa kazi tu...
😂😂😂😂😂😂😂😂😷Tanga jamani khaa. Tuna ndugu yetu mtoto wa baba mkubwa ameoa huko Tanga leo ni mwaka wa 20 nyumbani Mwanza ata hajawai kuludi.
Mpendwa mti wenye matunda,mleta uzi namshauri akuje Tanga ukute kasimuliwa story kwenye vijiwe vya kahawa.Hebu mjitokeze mtetee nyumbani jamani. Vyote tukose basi hata hiyo sifa ya jiji letu la maraha tuipoteze??
Usijali wa nyumbani,akijibu nitakustuaUtanishtua akikujibu.