DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,961
Wa Bondeyy wako vizuri hawanaga shida
Kwa kweli, mti wenye matunda......Mpendwa mti wenye matunda,mleta uzi namshauri akuje Tanga ukute kasimuliwa story kwenye vijiwe vya kahawa.
Yaani wanataka wawapakazie ubaya tuUsijali wa nyumbani,akijibu nitakustua
Usidhani kalogwa hapana Huyo anapata faraja na raha ndani ya moyo wake hana bughdha ni raha tu kila uchao wamtaka akumbukie shida?๐๐๐๐๐๐๐๐๐ท
Hapo ulipo andika wanawake wa kitanga tunapenda ugomvi na makelele si wote wako hivyo naamini Tanga ndio mkoa unao ongoza kuwa na utulivu katika mahusiano na Ndoa.Kawaida binadamu hawezi kujijua madhaifu yake hadi wapembeni amkonyeze. Kuna masuala hakugusia kama makelele, maugomvi ila mnapenda sana upande wenu na kuchukia wa mume. Kuhusu mapenzi hili lilibuniwa tu mbona hata wachagga wengine ni viboko 6x6 kuliko nyie. Jiwe liketupwa tunasubiri Shunie naye ajitetete
Usidhani kalogwa hapana Huyo anapata faraja na raha ndani ya moyo wake hana bughdha ni raha tu kila uchao wamtaka akumbukie shida?๐๐๐๐๐๐๐๐๐ท
Mabinti wa huko ni kutumia ..ila tanga ya sahivi sio kama ya zamani nakumbuka unakuta binti anatoa mshumaa na kiplate kidogo unaanza kukandwa pu**** lazima useme yote yaliyojificha
Wewe mkenya haya mambo utayaweza vipi? Kwani mnaweza hata kuoa kabila tofauti?Binafsi niko tofauti kidogo sipendi hayo maisha ya kudekezana na mwanamke,sijui sherehe au kupetiwa petiwa kukumbatiana kumbatiana etc hayo maisha yalinishinda kila jambo liwe kwa kiasi
Nimekuja Mtani.
Nachokipenda kwa watoto wa kitanga kumuolea mke mwenzie kwao sio ishu hawana tabu
Na ww ni mshirikina vile vileKipi kizuri ushirikina?
Tupe experience ya watu wa msoma kdg mkuuHuko huwa tukiwa safari kikazi tunafyatua tu basi inatosha sio kwa kuoa huko, ukitaka kuoa nenda musoma
Pamoja na yote hayo bado nawapenda sana hawa / Mahaba ndio ugonjwa wangu,akikupa hakubanii hukupa yoote mpaka basi,pia hawana zile sijui nimechoka za kijingajinga wao ni hapa kazi tu...
Ila huyo jamaa mtoa mada ni muongo, kuna wenye ndoa na binti wa Tanga au mimi mwenyewe sijaona kitu kama hicho.ukitaka kuoa nenda musoma
Na hii kusema sijui familia zina watu wengi hayo ni makubaliano ya wenyewe wanandoa kama wamekubaliana kujaza watu majumbani mwao ni wao. Utawakatazaje kwa mfano.Haswaaaaa!