Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,211
- 1,185
Habari za jumapili wana JamiiForums
Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.
Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.
Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.