Mnaohubiri stand ya Mbezi mnaboa

Mimi na nani, umewahi kuniona popote nikimlenga dada au mama yako? Tumewahi kukutana nikakuhubiria?
 
Mimi na nani, umewahi kuniona popote nikimlenga dada au mama yako? Tumewahi kukutana nikakuhubiria?
Sihitaji mahubiri ya mlokole yeyote
Umejibu nami nimekujibu kulingana na maelezo yako
Sikujui wala sihitaji kukujua
Nimejibu kwa umoja wenu unahubiri huhubiri sio hoja
Next...
 
Sihitaji mahubiri ya mlokole yeyote
Umejibu nami nimekujibu kulingana na maelezo yako
Sikujui wala sihitaji kukujua
Nimejibu kwa umoja wenu unahubiri huhubiri sio hoja
Next...
Hiyo chupa itazama tumboni. Kuwa makini
 
Yale makelele yanazidi ya AZANA??
 
Acha watu wahubiri injili.
 
Afadhali huko wanaweka kituo.
Nilitembelea Mbeya, huko balaa!
Wengine wanahubiri kwa sauti huku wanatembea! (Sauti kubwa)
Ama kweli gharika iko karibu malangoni.
 
Sijawahi kuona Waisilamu wanafanya hiki kitu,lakini kila siku makundi na makundi yanaslimu
Ukislimu unapewa hela.. hata mimi kuna kipindi nilifulia ikabidi nislim
 
mle ndani bado kuna ofisi zinapangishwa wakodishe chumba kimoja wafanye mambo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…