Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 801
- 3,260
Adui wa mwanaume ni mwanaume mwenyewe...
Mtu huna uchungu na pesa zako unamwaga tuu kwa wadada kisa nyapu,
Ukifirisika uanze kusumbua watu, ukipata ukimwi je?
Watu wanajitahidi kuwa waaminifu lakini chombo yako inakuja kubebwa kama kifaranga kilichobebwa na mwewe.
Mwishowe unaamua kua player, kwa nini tusishindane kwenye factors nyingne za asili?
Hio ni dhambi kama dhami nyingne, kutumia pesa kuhadaa wanyonge na wasiojitambua.
Serikali iweke namna ya ku track hela za kuhongwa iki detect kwenye miamala inazichukua Ijengee madaraja.
Jitu linahonga nyumba, nakati kwao hana hata choo.
Anayehongwa hatosheki, usione wewe ndio mwenye pesa zaidi, na wewe ni maskini kwa mwingne, hivyo na yule wa juu akiamua hivyo anakupokonya, au ana cheat unabaki na mamivu ukikumbuka spending unapata kisukari na pressure.
Mwishowe mademu wote achukue Elon Musk.
Kila mtu atafute kwa jasho, hata uchumi ndio utakua, maana ufanyaji kazi utaongezekaa..
Hata siku moja siwezi mlaumu Mwanamke kwa Kupokea mana tunawaendekeza, Ila mwanaume mhongaji tena ukute pesa anaitafuta kwa njia isiyohalali inayoumiza mwanaume mwenzake.
Acha nature i select, kutumia pesa ni KUTOJIAMINI, na kupigwa tukio ni rahisi sana maana mtu hana upendo na wewe.
Ukitafta hela kwa jasho huwezi itumia kijinga kwa ajili ya nyapu, Mtu ambaye ameweza kutafta pesa kihalali tayari huyo ni smart kichwani hawezi fanya huo ujinga.
Kama anaoa ataoa ili ajenge familia afanye spending atakavyo na kukumbuka alikotoka.
Acheni ujinga, hamna adabu bana.
Mtu huna uchungu na pesa zako unamwaga tuu kwa wadada kisa nyapu,
Ukifirisika uanze kusumbua watu, ukipata ukimwi je?
Watu wanajitahidi kuwa waaminifu lakini chombo yako inakuja kubebwa kama kifaranga kilichobebwa na mwewe.
Mwishowe unaamua kua player, kwa nini tusishindane kwenye factors nyingne za asili?
Hio ni dhambi kama dhami nyingne, kutumia pesa kuhadaa wanyonge na wasiojitambua.
Serikali iweke namna ya ku track hela za kuhongwa iki detect kwenye miamala inazichukua Ijengee madaraja.
Jitu linahonga nyumba, nakati kwao hana hata choo.
Anayehongwa hatosheki, usione wewe ndio mwenye pesa zaidi, na wewe ni maskini kwa mwingne, hivyo na yule wa juu akiamua hivyo anakupokonya, au ana cheat unabaki na mamivu ukikumbuka spending unapata kisukari na pressure.
Mwishowe mademu wote achukue Elon Musk.
Kila mtu atafute kwa jasho, hata uchumi ndio utakua, maana ufanyaji kazi utaongezekaa..
Hata siku moja siwezi mlaumu Mwanamke kwa Kupokea mana tunawaendekeza, Ila mwanaume mhongaji tena ukute pesa anaitafuta kwa njia isiyohalali inayoumiza mwanaume mwenzake.
Acha nature i select, kutumia pesa ni KUTOJIAMINI, na kupigwa tukio ni rahisi sana maana mtu hana upendo na wewe.
Ukitafta hela kwa jasho huwezi itumia kijinga kwa ajili ya nyapu, Mtu ambaye ameweza kutafta pesa kihalali tayari huyo ni smart kichwani hawezi fanya huo ujinga.
Kama anaoa ataoa ili ajenge familia afanye spending atakavyo na kukumbuka alikotoka.
Acheni ujinga, hamna adabu bana.