reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,677
- 21,113
Japo sijasoma habari yako, ila naomba nikupe pole ndugu.
Unajua hela tunatafuta kwaajili ya hawa warembo wenye utelezi?
Zaburi 107 mstari wa 6 inasema.
Je, yamfaa nini mwanaume kuishi ingali hamna wanawake wazuri? Ni vyema ikiwa wanawake wataondolewa duniani na wanaume wote wajiue maana hakuna sababu ya kuishi kungali hakuna wanawake.
Kama hamna wanawake duniani basi hata sisi wanaume hatuna sababu ya kuishi... Ukibisha njoo tupigane
🤣🤣🤣 duuu maneno yako ya mwisho kwenye hizi sentesi(quote) 2 yanamaanisha nini boss? hapa sasa namuelewa PantomathKwani wapi nimesema kupigana?