Mnao somesha wachumba mkowapi

Mnao somesha wachumba mkowapi

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,473
Reaction score
4,007
mchumba.jpg
 
Unaogopa kusomesha au hauna hela? Kwani ada sh ngapi? Kusomesha ni sawa na kubet, kuna kupata na kukosa! Tafuta hela acha kulialia kibwege
 
Dem mzee wake kagoma msomesha kisa me, dem bado hatak kuniacha nkamwonea huruma ikabd nifanye hvo

Mpeleke stage fulani hivi ili kuweka bondi ya nguvu, labda mtolee mpaka mahari na uchumba pia ili kwao iwe unajulikana officially!

Haisaidii sana ila anaweza kuwa na woga kukuendea kinyume sababu ya familia na ndugu zake wanakujua japo hiyo pia siyo guarantee lakini inasaidia kidogo!!
 
Mpeleke stage fulani hivi ili kuweka bondi ya nguvu, labda mtolee mpaka mahari na uchumba pia ili kwao iwe unajulikana officially!

Haisaidii sana ila anaweza kuwa na woga kukuendea kinyume sababu ya familia na ndugu zake wanakujua japo hiyo pia siyo guarantee lakini inasaidia kidogo!!

Thanks kwa ushaur mkuu ila me I don't care, nmeshasahau kama nmelipa ada
 
Pesa ya ada nlompa ni 900k tu ilobak nafanyia busn zangu coz nilikurupuka kununua ist wkt sijaweka mambo sawa ulimbukeni tu. Busn ikienda sawa gar ntanunua soon
Sawa mkuu hongera kwa kusomesha mchumba
 
Mpeleke stage fulani hivi ili kuweka bondi ya nguvu, labda mtolee mpaka mahari na uchumba pia ili kwao iwe unajulikana officially!

Haisaidii sana ila anaweza kuwa na woga kukuendea kinyume sababu ya familia na ndugu zake wanakujua japo hiyo pia siyo guarantee lakini inasaidia kidogo!!
Iiiii yani unajiongezea na hasara nyingine zisizo za lazima hahaa huipend hela yako,we fanya muoe au mpe mimba akizaa ndio msomeshe,
Sikufichi nilikua nasoma chuo tulikua tunawala wake za watu wanaosomeshwa vibay mnoo
 
Back
Top Bottom