zubedasoud
Member
- Feb 1, 2017
- 91
- 117
Daah,kweli zamani tulijifunza mengi,unanikumbusha madam wangu wa kiswahili ,madam asha ujij primary miaka ya 2000 ,alipenda kunisimamisha nakusoma mbele ya darasa kipnd hiko,daaaa tola mpaka Leo mm sio mchoyo wa chakula