Ohoooo!!Hadith za zamani zilitufundisha mengi ila siku izi baadhi ya wakina mama wanawafundisha watoto kusasambua na kucheza visingeli huku wakiwachukua kideo.
Sipati picha kizazi kijacho

Lakini hii stori ilitufunza mengi yaani tusiw wachoyo!!lakini nadhani ilikuwa na kauwongo ndani maana huwezi tafuna konokono alafu ummeze eti umtapike alafu atembee hapo hapo

Elimu ya msingi kuna vitu vingi sana tulidanganywaNa tulivyokuwaga wajinga eti tulikua tunaamini kua hii kitu ilishatokea. mfano mua uliozamisha meli yaan unaanza kupiga picha halafu unaamini kuna siku kweli muwa ulizamisha meli
kwa hiyo siku ya gulio katerero zilikuwa nyingi au!?Mi nimekumbuka siku ya gulio KATERERO
Tola alikuwa mchoyo sana alikuwa anapenda kula gizan wakati wa usiku, anapotoka kulewa anarudi anakuta watoto wake wamelaa anaanza kula chakula alichoficha ,kumbe siku moja konokono aliingia kwenye msosi.......si akaanza kula kimyakimya alitema CHENCHI za kutosha hadi watoto wake wakaamka wakamshtukia.......umenikumbusha the way BEFORE
kitambo sana izi hadithiAhahahahaaaaa wakati anameza msosi tola alikuwa anaitikia "mh mh mh mh mmmmmmm" alikuwa mchoyo sana mpaka anawanyima watoto wakeUmenikumbusha kale kawimbo
Tola: Njaa ipo muda mrefu.
Watoto: watu wanalala bila kulaDarasa la pili hyo dah miaka hyo
Yah mkuu nayo ilikuwa story nzuri sana aiseeMr sikuelewi! Ilikuwa ni ya darasa la nne nafikiri..
Mshukuru Mungu wife wako ni mchoyoJamani hii story ndio ilinifanya nisiwe mchoyo mpaka leo japo wife wangu ni mchoyo lakini nipo radhi nilale kavu kuliko mgeni yeyote aliekuja kwangu atoke kavu.
Pole mfundishe taratibu kuwa uchoyo sio.Jamani hii story ndio ilinifanya nisiwe mchoyo mpaka leo japo wife wangu ni mchoyo lakini nipo radhi nilale kavu kuliko mgeni yeyote aliekuja kwangu atoke kavu.
Iyee ni je jetuNa ile ya chopeko na mnofu.
La sita pia kuna kile kina "sijielewi" yani "iji ng'ombe jose ni ja kweni"?