Mnamkumbuka Tola mchoyo?

Mnamkumbuka Tola mchoyo?

Dah!!!Maisha yalikuwa tambarare sana sikutegemea kuja kukutana na haya ya ma~padlock.
 
Tola:njaa ipo muda mrefu
Watt:watu wanalala bila kula
Tola:mmmh mmmh.
Hahahahahaha uwiii jaman watt wa sasa hivi ni digital.zaman ilikuwa raha sana
 
8aee80798bef0e2bf0a02511a54edbe6.jpg
Lakini hii stori ilitufunza mengi yaani tusiw wachoyo!!lakini nadhani ilikuwa na kauwongo ndani maana huwezi tafuna konokono alafu ummeze eti umtapike alafu atembee hapo hapo
 
Zamani sana ingawa nilimaliza shule miaka ya 78 ila nilikuwa napenda kusoma vitabu vya watoto wakitoka shule
chitemo mimi masikini uvivu wangu nyumbani nikiwa huku njiani nakufa hapa kwanini Sadiki sasa ashiba chakula kingi kwa baba nirudi tena nyumbani chakula kingi kwa baba ila siku hizi watoto wa digital
 
Na tulivyokuwaga wajinga eti tulikua tunaamini kua hii kitu ilishatokea. mfano mua uliozamisha meli yaan unaanza kupiga picha halafu unaamini kuna siku kweli muwa ulizamisha meli
Elimu ya msingi kuna vitu vingi sana tulidanganywa
 
Watoto wageuka mawe.
sizitaki hizi mbichi.
Juma na uledi.
Siku ya gulio
Barua kutoka makole,
Utanikumbuka,
na vingine vingi ila safari ya maisha ni ndefu wish tungekuwa tunarudishwa tuanakumbuka tulikotoka.
 
Mr sikuelewi! Ilikuwa ni ya darasa la nne nafikiri..
 
Tola alikuwa mchoyo sana alikuwa anapenda kula gizan wakati wa usiku, anapotoka kulewa anarudi anakuta watoto wake wamelaa anaanza kula chakula alichoficha ,kumbe siku moja konokono aliingia kwenye msosi.......si akaanza kula kimyakimya alitema CHENCHI za kutosha hadi watoto wake wakaamka wakamshtukia.......umenikumbusha the way BEFORE
kitambo sana izi hadithi
 
Umenikumbusha kale kawimbo

Tola: Njaa ipo muda mrefu.
Watoto: watu wanalala bila kula Darasa la pili hyo dah miaka hyo
Ahahahahaaaaa wakati anameza msosi tola alikuwa anaitikia "mh mh mh mh mmmmmmm" alikuwa mchoyo sana mpaka anawanyima watoto wake
 
Ktk vile vitabu kuna kijiji kiliitwa 'mtakuja'
 
Na ile ya chopeko na mnofu.
La sita pia kuna kile kina "sijielewi" yani "iji ng'ombe jose ni ja kweni"?
 
Back
Top Bottom