Mnamfahamu huyu?

Mnamfahamu huyu?

Propaganda za magharibi, kwani Hitler alikuwa wa wapi? Kuoa ni jambo moja, ila kuonekana hata faragha na mwanaume mwenzie ni jingine.
Narudia,,acha propaganda za kimagharibi
 
Hivi kwa Tz kuna mtu mwenye sura mbaya zaidi ya P na nda?
Tazama TANGAZO litakalo toka likiwaita kuripoti kazini watumishi wapya wa TAKUKURU kama atakosekana Crispin Mizengo Pinda. Hapo Utajua sura mbaya zinalipa.
 
Nani amekuongopea sura inabeba kilicho kichwani kwa mtu?
Sura ni sura tu lakini kamwe huwezi kujua nini kipo kichwani kwa mtu na anafikiria nini.
 
Back
Top Bottom