Mnamfahamu huyu?

Mnamfahamu huyu?

Kufa kishujaa ni kufaje?.

Mkuu kuna haja ya kumuona doctor haraka. Mara nyingi watu wenye kuwafikiria watu kama Hitler kama mashujaa huwa wanafanya mambo ya ajabu kama sio kujiua basi kipo kitu utafanya kitakupeleka jera ya milele
 
Au ndugai😂😂
images (2).jpeg
 
Kufa kishujaa ni kufaje?.

Mkuu kuna haja ya kumuona doctor haraka. Mara nyingi watu wenye kuwafikiria watu kama Hitler kama mashujaa huwa wanafanya mambo ya ajabu kama sio kujiua basi kipo kitu utafanya kitakupeleka jera ya milele
Hahahaha mimi hata Putin ni shujaa
 
Kwa TZ ukimtoa Jiwe hakuna kiongozi mwenye sura ya mamlaka na ya kiume kama huyo.

The man aliyeiheshimisha Ujerumani na akafa kishujaa. The man aliyefanya Ujerumani pekee iitwe He badala ya She.

Ktaa kubali! Hata sura yako inabeba maono ya kusudio lako duniani, sura ya Hitler inajieleza na inaeleza wito wake. Naishia hapo.View attachment 2173168

Alinifurahisha mauwaji ya m6
 
Back
Top Bottom