mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,750
- 7,850
- Thread starter
- #41
Hao hawamfikii. Hao wanaonekana kunyata,,Hitler hajanyata ila ana sura ya kiume au kimamlakasteven wassira & mzee pinda
Hao hawamfikii. Hao wanaonekana kunyata,,Hitler hajanyata ila ana sura ya kiume au kimamlakasteven wassira & mzee pinda
Kinana ashajikuta matawi au sio?. Kinana sa ivi hapokei simu daah sisiemu hii







Hahahah nani huyo?Au kisa barua yake ni kwa herufi kubwa![]()
KabisaUso wa mbuzi
Nalog off Z
Wapo hawakosagi haoKuna Wayahudi humu jukwaani?
Ungependa upate maoni yao pia?
Eti eeehKwa hiyo kwako, shujaa ni yule anayeua wengine, kutesa, kunyanyasa na kuumiza? Kama upo uraiani ni makosa sana ulitakiwa uwe mirembe!
Huyo ni Mjerumani mmoja hivi ambaye kila mtu au Rais wa dunia hii anamfahamu vizuri sana.huyu sio charlie charpin huyu
#mwambaNamkubali sana huyu jemedari.
Kiroboto gani mkuu?Kiroboto vipi
Ukifuatilia sana akili za binadamu zinavyofanya kazi utachokaKwa hiyo kwako, shujaa ni yule anayeua wengine, kutesa, kunyanyasa na kuumiza? Kama upo uraiani ni makosa sana ulitakiwa uwe mirembe!
The Fuerher alikuwa butcher bana.SS na Gestapo zirirara mbere na wengi sana.Gypsies,Roma,Jews,wacommunist na wakosoaji Kwa ujumla.Kwa TZ ukimtoa Jiwe hakuna kiongozi mwenye sura ya mamlaka na ya kiume kama huyo.
The man aliyeiheshimisha Ujerumani na akafa kishujaa. The man aliyefanya Ujerumani pekee iitwe He badala ya She.
Ktaa kubali! Hata sura yako inabeba maono ya kusudio lako duniani, sura ya Hitler inajieleza na inaeleza wito wake. Naishia hapo.View attachment 2173168
Unataka kumpiga virungu? Mpigie Bashiru. Kinana sa ivi hapokei simu daah sisiemu hii
😂😂Unataka kumpiga virungu? Mpigie Bashiru
Supika alie jibuaHahahah nani huyo?
Wewe nae nani amekuua au kukutesa?Kwa hiyo kwako, shujaa ni yule anayeua wengine, kutesa, kunyanyasa na kuumiza? Kama upo uraiani ni makosa sana ulitakiwa uwe mirembe!
Nyerere pia alikuwa na vimustachi twa hivyoKwa TZ ukimtoa Jiwe hakuna kiongozi mwenye sura ya mamlaka na ya kiume kama huyo.
The man aliyeiheshimisha Ujerumani na akafa kishujaa. The man aliyefanya Ujerumani pekee iitwe He badala ya She.
Ktaa kubali! Hata sura yako inabeba maono ya kusudio lako duniani, sura ya Hitler inajieleza na inaeleza wito wake. Naishia hapo.View attachment 2173168
Ili nchi za Africa zwe na maendeleo znahitaji mtu km jpm anaeeza kuwakazia watasha bila kuwaogopa mchana kweupe