Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,198
uzi huu bila picha haunogi
Acha kauzibe wewe.Dada hapa pamejaa mavampaya wanajiita mabaharia usimwamini yeyote anayekuja PM,
TENA PICHA ISIHUSIKE KABISAAA
Naweka kambi hapa![]()
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE 😋😋hio avatar utani wa ngumi huu aise🙄🙄
Huyu ni mwenyeji kwenye ID mpyaKaribu JF Selina,
Hapo watataka wakukule kimasikhara kisha wakavimbe kwenye uzi wa baharia Rikiboy..!!
Dada hapa pamejaa mavampaya wanajiita mabaharia usimwamini yeyote anayekuja PM,
TENA PICHA ISIHUSIKE KABISAAA





.