Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 865
- 1,016
Acha uongo selina mrembo hichi hapa nini?
Ullielezea wapi hayo unayosema ...
OK tunakuja maana umetuita
Ullielezea wapi hayo unayosema ...
OK tunakuja maana umetuita

Huyo jamaa aliekuja kwa gia ya dini nae Ni baharia mwenzetu tu ila karata zake amezichanga vizuri sisi tumecheza karata mbovu ila lengo letu wote Ni moja tu
Sent using Gun Trigger




Yani tangu nianze kueleza matatizo yangu humu nimebahatika kumpata mkaka mmoja tu ambaye alikuwa kidini zaidi nilifurahishwa nae sana alinitia nguvu sana ya maisha ila wengi wao jamani wakiomba picha ukiwapa wanataka mahusiano tu!
Jamani mahusiano gani ya kweli ya mtandaoni tuache izo tabia saizi tutakuwa tuna fake picha kutokana na tabia zenu sio nzuri mtu anapitia magumu anataka kutulizwa kwa ushauri mbali mbali lakini baada ya kumtuliza ndo kwanza unazidi kumuongezea tatizo tubadilike.
Huyo jamaa aliekuja kwa gia ya dini nae Ni baharia mwenzetu tu ila karata zake amezichanga vizuri sisi tumecheza karata mbovu ila lengo letu wote Ni moja tu
Sent using Gun Trigger





acha kumuharibia mwana hiyo move bana, kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.Baharia katuzidi mbinuacha kumuharibia mwana hiyo move bana, kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
Sorry "NAHODHA"Bwashee ukituharibia unapata faida gani.?
We si Mdada lakini??🙄Acha kauzibe wewe.
Karibu JF Selina,
Hapo watataka wakukule kimasikhara kisha wakavimbe kwenye uzi wa baharia Rikiboy..!!




Hivi siwezi pata anaetaka kuliwazwaa jamani..Hivi kumbe watu wanatafuta cha kuandika kwa Rikiboy?![]()



Muachee namuangaliaa tuUna uhakika?Humu watoto ndio wamebaki watu wazima na akili zao wamewahiwa
Mabaharia 5:3 wafateni kwa mitindo tofauti wasipate kujua Nia zenuHuyo jamaa aliekuja kwa gia ya dini nae Ni baharia mwenzetu tu ila karata zake amezichanga vizuri sisi tumecheza karata mbovu ila lengo letu wote Ni moja tu
Sent using Gun Trigger
NdioooUna uhakika?
Wewe ulishapata wako?Ndiooo
Ntakuja kukutongoza kwa Id zangu nyingine.Yani tangu nianze kueleza matatizo yangu humu nimebahatika kumpata mkaka mmoja tu ambaye alikuwa kidini zaidi nilifurahishwa nae sana alinitia nguvu sana ya maisha ila wengi wao jamani wakiomba picha ukiwapa wanataka mahusiano tu!
Jamani mahusiano gani ya kweli ya mtandaoni tuache izo tabia saizi tutakuwa tuna fake picha kutokana na tabia zenu sio nzuri mtu anapitia magumu anataka kutulizwa kwa ushauri mbali mbali lakini baada ya kumtuliza ndo kwanza unazidi kumuongezea tatizo tubadilike.
Mimi nipo hapA lodge fulani napata moja moto na moto zaidi ila huyu sio wa jf.Wewe ulishapata wako?