Mnakwama wapi Wakuu?

Mnakwama wapi Wakuu?

Acha uongo selina mrembo hichi hapa nini?
Ullielezea wapi hayo unayosema ...
OK tunakuja maana umetuita
Screenshot_20200520-183515_1589989008184.jpg
 
Yani tangu nianze kueleza matatizo yangu humu nimebahatika kumpata mkaka mmoja tu ambaye alikuwa kidini zaidi nilifurahishwa nae sana alinitia nguvu sana ya maisha ila wengi wao jamani wakiomba picha ukiwapa wanataka mahusiano tu!

Jamani mahusiano gani ya kweli ya mtandaoni tuache izo tabia saizi tutakuwa tuna fake picha kutokana na tabia zenu sio nzuri mtu anapitia magumu anataka kutulizwa kwa ushauri mbali mbali lakini baada ya kumtuliza ndo kwanza unazidi kumuongezea tatizo tubadilike.

Mkuu huku JF kuna mafisi sana, pole yako
 
Huyo jamaa aliekuja kwa gia ya dini nae Ni baharia mwenzetu tu ila karata zake amezichanga vizuri sisi tumecheza karata mbovu ila lengo letu wote Ni moja tu

Sent using Gun Trigger

acha kumuharibia mwana hiyo move bana, kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
 
coming to America nahisi ww ndo unatafuta mchumba huku njoo tu kama nakuona vile dada maana kila mtu hana majanga yake na watu wanavunga ndani kwa ndani
 
Humu watoto ndio wamebaki watu wazima na akili zao wamewahiwa
 
Yani tangu nianze kueleza matatizo yangu humu nimebahatika kumpata mkaka mmoja tu ambaye alikuwa kidini zaidi nilifurahishwa nae sana alinitia nguvu sana ya maisha ila wengi wao jamani wakiomba picha ukiwapa wanataka mahusiano tu!

Jamani mahusiano gani ya kweli ya mtandaoni tuache izo tabia saizi tutakuwa tuna fake picha kutokana na tabia zenu sio nzuri mtu anapitia magumu anataka kutulizwa kwa ushauri mbali mbali lakini baada ya kumtuliza ndo kwanza unazidi kumuongezea tatizo tubadilike.
Ntakuja kukutongoza kwa Id zangu nyingine.
Ole wako unichomoleee betri.

Utajuta kumpenda Magufuli
 
Wewe ulishapata wako?
Mimi nipo hapA lodge fulani napata moja moto na moto zaidi ila huyu sio wa jf.
Tumevaa barakoa korona ipo.
Ila utofautishe hatupo kwa room tupo garden tunapasha kidogoo.
Jogoo likiamka mtetea yupo.
Utasugua vidole humu injini la basi linaendeshwa na watoto tu.
This is true
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom